DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Acha na kuwa na fikra mbovu na dhana potofu,sio kila unavyodhania anayefundisha sekondari hawez kuwa mwl.wa chuo,kumbuka kuna walimu wanafundisha sekondari wana phd. Mfano pale kihonda sec. school (morogoro)kuna mama mwl. pale wa kuajiriw alijiendeleza ,lakini anafundisha SUA chuo kikuu,muheshimu huyo mwl.wote tusoma vyuon humo humo
Mfano wako mzuri kweli, nitajie jina la huyo lecture wa SUA uliemtaja.