Acha na kuwa na fikra mbovu na dhana potofu,sio kila unavyodhania anayefundisha sekondari hawez kuwa mwl.wa chuo,kumbuka kuna walimu wanafundisha sekondari wana phd. Mfano pale kihonda sec. school (morogoro)kuna mama mwl. pale wa kuajiriw alijiendeleza ,lakini anafundisha SUA chuo kikuu,muheshimu huyo mwl.wote tusoma vyuon humo humo
TEKU ni taasisi ya elimu ya juu na sio chuo kikuu.
Kwa taarifa zaidi muulize mpigamsuli.
Unalalamika nn kati nulipata ufaulu mdogo wa kiwango cha ees, hama uje udsm kama unaubavu kama hauna ubavu kubali matokeo ya kufundishwa na diploma holder,anya way pole sana ila history haina jipya takribani maada zake ni za o and advanced
Jamani tumefika mahala diploma anafundisha chuo kikuu? Au mzaha? Sizani kama hii taarifa ina ukweli. Kama kweli basi hicho chuo kimefariki.
Ndugu we soma maliza,acha kulala.Wenzio twataka kuja hapohapo.Hebu nisaidie kuulizia kozi ya Diploma in Librarianship ipo mwezi July?Maana kwenye web sioni.Hali ni mbaya saana hususan kwa mwaka wa pili, course kama THT 453 na THT 454 mambo hayaeleweki,kama imefikia hatua ya kuchukua waalimu wa sekondari kufundisha chuo kikuu mbona majanga? kuna mwalimu mmoja anafundisha Sinde Secondary form III Literature, eti anafundisha TEKU,chuo kikuu kufundishwa na Diploma,jamani Serikali naomba muingilie kati swala hili.Hakuna madarasa ya kutosha,TEKU wanafunzi wanasoma chini ya mti,wamekazania kujenga Hosteli kibao tena za magorofa wakati wahadhiri hawapo wala viti,madarasa na vitabu.TCU mmejichanganya vipi mpaka mnaleta wasomi wa nchi hii kuteseka huku uchochoroni?,kama hata Diploma wamekosa ajira kisa chuo hakijasajiliwa na bado hakuna kinachofanyika vipi mnataka mgomo na maandamano ndo mfunge chuo hiki? Library ni kubwa lakini hakuna vitabu vya maana.
Mfano wako mzuri kweli, nitajie jina la huyo lecture wa SUA uliemtaja.
udsm unaijua mziki wake au unaiona kwenye tv? Mwalimu wa primary afundishe udsm? Acha utani mwana mdogo.
Ni kweli yupo mama mmoja pale kihonda ila cjui kama anafundisha SUA
Ukisema kwako kunaungua kwa mwenzio jua kunateketea Kuna chuo kikuu kiko Moshi ni aibu tupu,ni chuo cha bible lakn na Degree ya Elimu ndo tunaisomea hapa ndo campus ya Wanaosomea BED ukfika hautaamin Bora shule yangu ya kata niliyosoma ina majengo mazuri noumaaa lakn mwsho wa siku Watu wanapata Degree nakuajiliwa serikali na private school majengo n kawaida cha msingi Taaluma basi!Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.
Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.
Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.