Teknolojia imetuweka uchi, Taarifa zetu binafsi zipo ughaibuni. Sera ya Ulinzi wa taarifa ipitiwe

Teknolojia imetuweka uchi, Taarifa zetu binafsi zipo ughaibuni. Sera ya Ulinzi wa taarifa ipitiwe

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Bila shaka kama nchi tumekuwa out-paced na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii. Leo hii kila mtanzania ikiwemo viongozi,vyombo vya serikali ikiwemo vya ulinzi na usalama wapo watsapp, tiktok, google, Instagram n.k.

Mawasiliano yote au almost yote katika shughuli za kiserikali, kijamii, kielimu, kitakwimu n.k yapo mtandaoni.

Hii ni hatari ambayo sioni ikifanyiwa kazi "kisera" ili kulinda japo kidogo usiri wa Serikali na jamii.

Waziri husika ni vyema akakaa na wataalamu kuja na suluhisho otherwise we are all naked infront of hawa mabwana wakubwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Bila shaka kama nchi tumekuwa out-paced na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii.
Leo hii kila mtanzania ikiwemo viongozi,vyombo vya serikali ikiwemo vya ulinzi na usalama wapo watsapp,tiktok ,google ,Instagram n.k.

mawasiliano yote au almost yote katika shughuli za kiserikali,kijamii,kielimu,kitakwimu n.k yapo mtandaoni.

hii ni hatari ambayo sioni ikifanyiwa kazi "kisera" ili kulinda japo kidogo usiri wa Serikali na jamii.

Waziri husika ni vyema akakaa na wataalamu kuja na suluhisho otherwise we are all naked infront of hawa mabwana wakubwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Inawezekana upo sasa lakini sioni mtu waku deal na hili yani Nape ndo ashughulike na hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaamini WhatsApp ni salama, mawasiliano yote wanayafanya huko. Hawajui wenzao Uingereza mawasiliano ya WhatsApp ya Matt Hancock (Waziri wa Afya wakati wa Covid-19) yamevuja!
 
Mkuu ukumbe choocha shule tunajengaga kwa zaidi ya mwaka China walijenga hospitali kwa week sisi bado Sana hata simu hatuwezi tengeneza
 
Yani nape kichwa maji ndo ashughulikue hili swala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiiii baghoshaa
wapo wataalamu chini yake...wafanyie kazi then ipelekwe kama mswada bungeni
.
 
Bila shaka kama nchi tumekuwa out-paced na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii. Leo hii kila mtanzania ikiwemo viongozi,vyombo vya serikali ikiwemo vya ulinzi na usalama wapo watsapp, tiktok, google, Instagram n.k.

Mawasiliano yote au almost yote katika shughuli za kiserikali, kijamii, kielimu, kitakwimu n.k yapo mtandaoni.

Hii ni hatari ambayo sioni ikifanyiwa kazi "kisera" ili kulinda japo kidogo usiri wa Serikali na jamii.

Waziri husika ni vyema akakaa na wataalamu kuja na suluhisho otherwise we are all naked infront of hawa mabwana wakubwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Watu wakipewa hii tenda ya kujenga mfumo wa ulinzi kiteknolojia watafikiria kwanza takrima na ten percent!
 
Back
Top Bottom