Teknolojia imetuweka uchi, Taarifa zetu binafsi zipo ughaibuni. Sera ya Ulinzi wa taarifa ipitiwe

Teknolojia imetuweka uchi, Taarifa zetu binafsi zipo ughaibuni. Sera ya Ulinzi wa taarifa ipitiwe

Watu wakipewa hii tenda ya kujenga mfumo wa ulinzi kiteknolojia watafikiria kwanza takrima na ten percent!
huo ndio ubaya...ila sisi kama wazee inatupasa tuwatumie vijana wetu vizuri kwa kuwaonesha hii weakness tuliyoifanya sasa kazi ni kwao kuisahihisha....motivation kwao ni kuwa wasijihisi hawawezi wapambane kuanzia leo kupata suluhu...sisi tunaelekea kumaliza muda wetu tutawaacha wao na vijana wenzeo wa ughaibuni.Tungependa kuona wanashinda hii vita ya muda mrefu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Hii kitu inaitwa AI ni jambo la hatari sana...yaani mtandao kwa sasa unaweza kukuletea na kuchuja threads ulizoziowea kufuatilia ...kama vile mind reading .#MshanaJr haya mambo walifanya mababu zetu tu
 
Nigeria ndio nimeona wanajenga database center. Hata Urusi huwa inavutana na makampuni ya Marekani kuhifadhi data za users wa Russia ndani ya nchi yao sembuse sisi.
Serikali haina ubavu wa kuiamrisha Meta, Alphabet au Apple kuhifadhi data za Watanzania nchini.
 
Hakuna wa kuzuia chochote kwenye nchi hii kwa sasa. Ishakuwa koloni la mabeberu. Aliyejaribu aliitwa gaidi, katili, dikteta. Kwa sasa nchi imefunguliwa
 
Hakuna wa kuzuia chochote kwwnye nchi hii kwa sasa. Ishakuwa koloni la mabeberi. Aliyejaribu aliitwa gaidi, katili, dikteta. Kwa sasa nchi imefunguliwa
Bado nafasi ,vyombo na wakati wa kurekebisha upo...
 
Umeongea kitu Cha Msingi sana!!

Wakati Marekan na Ulaya inapiga marufuku Viongozi wake kuacha kutumia TikTok

Sisi huku...
Marekani ilidukua simu ya Angela Merkel na viongozi wengine ulaya,urusi ilidukua barackberry ya barrack Obama..labda Kama unashauri turudi enzi za analogy benki na vitabu ili utoe pesa na mawasiliano yawe kwa barua tu
 
Bila shaka kama nchi tumekuwa out-paced na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii. Leo hii kila mtanzania ikiwemo viongozi,vyombo vya serikali ikiwemo vya ulinzi na usalama wapo watsapp, tiktok, google, Instagram n.k.

Mawasiliano yote au almost yote katika shughuli za kiserikali, kijamii, kielimu, kitakwimu n.k yapo mtandaoni.

Hii ni hatari ambayo sioni ikifanyiwa kazi "kisera" ili kulinda japo kidogo usiri wa Serikali na jamii.

Waziri husika ni vyema akakaa na wataalamu kuja na suluhisho otherwise we are all naked infront of hawa mabwana wakubwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Ukiona nchi inayumba ujue taasisi ya usalama wa taifa iko na shida!!
 
Umeongea kitu Cha Msingi sana!!

Wakati Marekan na Ulaya inapiga marufuku Viongozi wake kuacha kutumia TikTok

Sisi huku...

Sis huku hatuna control, serikali haijali. wenzetu huwa wako 100 steps mbele kuhusu taarifa ila sisi tuko busy na mambo mengine. Ulinzi wa taarifa si kipao mbele
 
huo ndio ubaya...ila sisi kama wazee inatupasa tuwatumie vijana wetu vizuri kwa kuwaonesha hii weakness tuliyoifanya sasa kazi ni kwao kuisahihisha....motivation kwao ni kuwa wasijihisi hawawezi wapambane kuanzia leo kupata suluhu...sisi tunaelekea kumaliza muda wetu tutawaacha wao na vijana wenzeo wa ughaibuni.Tungependa kuona wanashinda hii vita ya muda mrefu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

 
huo ndio ubaya...ila sisi kama wazee inatupasa tuwatumie vijana wetu vizuri kwa kuwaonesha hii weakness tuliyoifanya sasa kazi ni kwao kuisahihisha....motivation kwao ni kuwa wasijihisi hawawezi wapambane kuanzia leo kupata suluhu...sisi tunaelekea kumaliza muda wetu tutawaacha wao na vijana wenzeo wa ughaibuni.Tungependa kuona wanashinda hii vita ya muda mrefu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Post in thread 'Naumizwa sana na namna ambavyo TISS inakuwa ni ya siri kweli kweli, vijana ambao tuna project zetu sometimes tunahitaji sana support yenu' Naumizwa sana na namna ambavyo TISS inakuwa ni ya siri kweli kweli, vijana ambao tuna project zetu sometimes tunahitaji sana support yenu

Hiki kitu tulikiongelea uku naona sasa watu wanaanza kuamka kutoka katika utumwa tegemezi jingalao
 
Hii kitu inaitwa AI ni jambo la hatari sana...yaani mtandao kwa sasa unaweza kukuletea na kuchuja threads ulizoziowea kufuatilia ...kama vile mind reading .#MshanaJr haya mambo walifanya mababu zetu tu

Mambo ya python hayo
 
Nigeria ndio nimeona wanajenga database center. Hata Urusi huwa inavutana na makampuni ya Marekani kuhifadhi data za users wa Russia ndani ya nchi yao sembuse sisi.
Serikali haina ubavu wa kuiamrisha Meta, Alphabet au Apple kuhifadhi data za Watanzania nchini.

Sisi tunafeli wapi maana kila kitu tunacho shida serikali aithamini vitu vyake vya ndani. Watatafuta wageni waje kufanya ilo jambo T14 Armata
 
Back
Top Bottom