Teknolojia imetuweka uchi, Taarifa zetu binafsi zipo ughaibuni. Sera ya Ulinzi wa taarifa ipitiwe

Teknolojia imetuweka uchi, Taarifa zetu binafsi zipo ughaibuni. Sera ya Ulinzi wa taarifa ipitiwe

Bila shaka kama nchi tumekuwa out-paced na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii. Leo hii kila mtanzania ikiwemo viongozi,vyombo vya serikali ikiwemo vya ulinzi na usalama wapo watsapp, tiktok, google, Instagram n.k.

Mawasiliano yote au almost yote katika shughuli za kiserikali, kijamii, kielimu, kitakwimu n.k yapo mtandaoni.

Hii ni hatari ambayo sioni ikifanyiwa kazi "kisera" ili kulinda japo kidogo usiri wa Serikali na jamii.

Waziri husika ni vyema akakaa na wataalamu kuja na suluhisho otherwise we are all naked infront of hawa mabwana wakubwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Sheria zote baada ya JPM zime kuwa neutralized kuruhusu wewe na mwingine taarifa ziwe wazi ijapokuwa kuna sheria ya kulinga taarifa ambazo ni geresha tu
 
Sheria ya faraga na utu wa mtu kulindwa imefutwa ?!
 
Bora hata Naibu Waziri wa hiyo Wizara kuliko huyo Waziri,yule Mama ni Mhandisi angalau shule ipi kichwani
 
Back
Top Bottom