Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji

Laiti ningepitia humu jamvini kabla ya kununua huu upuzi na kama dital ndo hivi bora kubk analogia.
 
Bora ya hata wale wengine EASY TV kuliko hawa Startimes yaan ni kichefuchefu

Hao EASY TV ndio nani tena? Mimi sijanunua hicho king'amuzi, na inavyoelekea sitakinunua kabisa, maana kwa huu uzoefu mnaotupatia humu, ni mwendawazimu pekee anayeweza kukubali hili gamba la kichina. Kamata mwizi men...!!!!!!!!!!!!
 
Hawa jamaa wa ajabu sana,nilikuwa napenda kuangalia kung-fu channel wanaonyesha ligi ya Italia.jumamosi moja nikakutana na tatizo la kutoipata kungfu channel.nilipowasiliana nao wakasema wameiweka hiyo channel kwenye kifurushi ambacho gharama yake ni shs 18000 kwa mwezi.kibaya zaidi ni kwamba hawajaboresha chochote.nusu ya vituo ni vya kichina tu, mpaka inaboa sana
 
Nauza cha kwangu, nikikosa mtu wa kumuuzia natafuta mtu mwenye shughuli kama harusi hivi ndio nampelekea zawadi

KHAAAAA UNAWAAMBUKIZA HAWA WAPENDANAO MARADHI!!!
mi nasubiri hela yao ikikata nakirudusha kwenye box sina habari tena na hawa wajinga
 
Hawa wapuuzi!channel zenyewe mbayaaaa! Alafu eti wanazigawanya ulipie zaidi kwa ule upuuzi! Eti kungfu channel! Kungfu zenyewe za majini! Si bora akina kanumba! Channel nyingi hawaongei kiingereza no subtitle alafu unaleta Bongo! Hawa ni wezi wamesharudisha mtaji sasa mwendo wa wizi tu! Wamejaza channel za kichina na lugha yao! Kule mikoani wanakotumia cable kama bukoba hawapati mtu,bukoba unapata channel kama 65 tena channel za muvi kama 8! Nne za muvi za kiafrika na 4 za mbele! Soka unaona mechi zote za england! Dini emanuel tv,ewtn unazipata na zoooote elfu 10 tu! Kuunganisha 50,000.ukiwa bukoba unaenjoy tv! Hawa startimd hutawasikia kule kamwe!
 
WanaJF
Nasikitika sana kwa Tangazo la Startimes kampuni tunayoitegemea itupe huduma ya channel
mbalimbali za duniani lakini imekuwa ya kwanza kutudanganya na kutuwekea matanganzo ya
wachezaji wa Ligi ya Seria A Mcezaji Steven Kanumba,Nimeshangazwa sana na Tangazo hili
Sijaelewa sana maana yake nini.najua kuwa Steven Kanumba ni Msanii wa Filamu Tanzania
na sio Mchezaji wa Mpira Ligi ya serie A,Labda watuambia ameanza lini kuchezea Ligi See A.
Tangazo hili nimeliona pale Airport ukitoka tuu njia panda utaliona.Waongo wakubwa hawa.
 
Ina maana wanaotangaza matangazo ya condom ni wahusika wakubwa wa bidhaa hizo?
 
Huo ni mradi wa MTOTO wa fisadi mmoja tu hapa Nchi yani nimeshashtukaga kitambo na ndiyo sijanunuaga tu! Hakika nawaambia huo ni mradi wa mtu mmoja fisadi lakini iko siku atajutia alichowatendea Watanzania milioni around 47 kwa kujinufaisha yeye na family yake. Hawa mafisadi waombe mapinduzi isifikage maana watacheka wakilia wezi wakubwa na serikali legelege inawachekelea tu.
 
wadau wa jf..naomba leo niwashtaki startime kwa kuwa mimi ni mteja wao lakini sikuhizi ki'ngamuzi hakionyeshi zaidi ya station 10..na zingine ndio zilizonifanya mimi kujiunga na mtandao huo...sasa naomba watueleze kulikoni?..aaahhhh mchina anaboa sana atime....
 
hapa kwetu wana promosheni na wanatangaza hivi:Nunua kin'gamuzi upate zawadi kibao,zawadi ya kwanza,UTAPIGA PICHA NA MSANII MAARUFU WA FILAM STEVE KANUMBA! pumb*##vu zenu!
 

Balua/barua! ila ujue wana uhusiano na TBC na Magamba kwa hiyo chochote chaweza tokea, mimi king'amuzi chao nimekitupilia mbali.
 
Topic: Balua ya wazi kwa
startimes
Madoido 13:38 Yesterday
wadau wa jf..naomba leo
niwashtaki startime kwa
kuwa mimi ni mteja wao
lakini sikuhizi ki'ngamuzi
hakionyeshi zaidi ya station
10..na zingine ndio
BALUAA au BARUA
 

Hii kweli ni "balua" na si barua!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…