Teknolojia ya mawasiliao imevuruga husianao za mapenzi na kuvunja ndoa nyingi sana za watu humu nchini na duniani kwa ujumla

Teknolojia ya mawasiliao imevuruga husianao za mapenzi na kuvunja ndoa nyingi sana za watu humu nchini na duniani kwa ujumla

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unakuta watu wengi walioko kwenye mahusiano ya kimapenzi, uchumba na ndoa, mathalani walikutana masomoni, kanisani, safarini, kwenye sherehe, semina, kongamano au hata makazini tena bila hata kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu za mkononi kukutana mwanzoni, ispokua technolojia hiyo imekuja baadae kidogo katika kurahisisha kukutana kwao faragha au kwenye mambo mengine..

Lakini cha kushangaza, hivi sasa teknolojia hiyo ya mawasilianao hasa ya simu za mkononi, ndiyo imekua chimbuko na chanzo kikuu cha cha mafarakano, migogoro, uharibifu, kusamabaratika kwa ndoa na pengine kuleta maafa miongoni mwa wanandoa au familia kwenye jamii...

Actualy, tulipokua tukijifunza darasani hususana tukiwa masomoni tulifundishwa masuala ya utandawazi na maendeleo ya teknolojia duniani yanavyofanya kazi, na nakumbuka tulielezwa faida na hasara za mambo hayo kwa kina zaidi.

Nakumbuka miongoni mwa athari tegemewa za utandawazi na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano, hasa ya simu za mkononi ni uongo kukithiri. kwa mfano Mtu anakwambia yupo mbezi kumbe yupo gest hause mbagala ndrani ndrani huko anafanya yake.. nadhani mnaotumia usafiri wa umma huwa mnasiakia uongo unavyosambazwa na wanaokua wanaongea na simu ndani ya kidala...

Lakini pia athari nyingine ni kuchochea hasira, mafarakano, chuki na uadui miongoni mwa familia, wachumba au wanandoa n.k. Mathalani, unamtumia mtu ujumbe au unampigia simu mchumba wako, mume au mkeo, ndugu, jamaa, rafiki au mwanafamilia wako simu inaita tu, na hapokei, na hata akikuta miscalls zako baadae, hakucallback wala kujibu ujumbe ulomtumia.. unadhani matokeo ya hali hiyo si ni pamoja na kuhatarisha amani na kuchochea migogoro ambayo kwenye ndoa inawezakua mibaya zaidi.?.

So, friends, ladies and gentleman, athari na faida za teknolojia ya mawasiliano hasa ya simu za mkononi ni nyingi mno, na binafsi ninadhani ingalikua tumezizingatia vizuri kule masomoni na kuzielewa vyema hasara na faida zake huenda, simu isingekua chanzo au sababu ya kusambaratika kwa chumba na ndoa nyingi nchini..

Ingependeza zaidi kama, mlikutana kanisani basi mkaachanie kanisani, kama ni kazini, michezoni, safarini na kwengineko mlikokutania na sio eti kasimu tu kamkononi tena katochi, kana sambaratisha ndoa yenu iliyodumu kwa zaidi ya miaka8 na mnawatoto wa4 wa kulea dah...

Mlikutana kimjini mjini , muachane kimjini mjini kwa amani tu kama mmeshindwana. mliokutana facebook, IG, X na humu JF, na mpaka leo mko sawa, imara tema mbele zaidi ya teknolojia ya mawasiliano, hakika mmeupiga mwingi vizuri sana, sifa na utukufu mrudushueni Mungu.

Nami Baba yenu katika roho na kweli, nawaombea Baraka na Neema za Mungu zidumu, ziambatane na kuandamana nanyi katika uchumba na ndoa zenu imara sasa, daima na milele, Aimen.
 
unakuta watu wengi walioko kwenye mahusiano ya kimapenzi, uchumba na ndoa, mathalani walikutana masomoni, kanisani, safarini, kwenye sherehe, semina, kongamano au hata makazini tena bila hata kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu za mkononi, ispokua technolojia hiyo imekuja baadae kidogo katika kurahisisha kukutana kwa wachumba au wanandoa hao faragha na kwenye mambo mengine..

lakini cha kushangaza,
hivi sasa teknolojia hiyo ya mawasilianao hasa ya simu za mkononi, ndiyo imekua chimbuko na chanzo kikuu cha cha mafarakano, migogoro, uharibifu, kusamabaratika kwa ndoa na pengine kuleta maafa miongoni mwa wanandoa au familia kwenye jamii...

actualy,
tulipokua tukijifunza darasani masuala ya utandawazi na maendeleo ya teknolojia duniani, nakumbuka tulielezwa faida na hasara za mambo hayo kwa kina zaidi.
nakumbuka miongoni mwa athari tegemewa za utandawazi na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano, hasa ya simu za mkononi ni uongo kukithiri. kwa mfano Mtu anakwambia yupo mbezi kumbe yupo gest hause mbagala ndrani ndrani huko anafanya yake.. mnaotumia usafiri wa umma nadhani huwa mnasiakia uongo unavyosambazwa na wanaokua wanaongea na simu ndani ya kidala...

lakini pia athari nyingine ni kuchochea hasira, mafarakano, chuki na uadui miongoni mwa familia, wachumba au wanandoa n.k. Mathalani, unatumia mtu ujumbe au unampigia simu mchumba wako, mume au mkeo, ndugu, jamaa, rafiki au mwanafamilia wako simu inaita tu, na hapokei, na hata akikuta miscalls zako hakucallback wala kujibu ujumbe ulomtumia.. unadhani matokeo ya hali hiyo si ni pamoja na kuhatarisha amani na kuchochea migogoro ambayo kwenye ndoa inawezakua mibaya zaidi.?.

so,
friends, ladies and gentleman,
athari na faida za teknolojia ya mawasiliano hasa ya simu za mkononi ni nyingi mno, na binafsi ninadhani ingalikua tumezizingatia vizuri kule masomoni na kuzielewa vyema hasara na faida zake huenda, simu isingekua chanzo au sababu ya kusambaratika kwa chumba na ndoa nyingi nchini..

ingependeza zaidi kama,
mlikutana kanisani basi mkaachanie kanisani, kazini, michezoni, safarini na kwengineko mlikokutania na sio eti kasimu tu kamkononi tena katochi, kana sambaratisha ndoa yenu iliyodumu kwa zaidi ya miaka8 na mnawatoto wa4 wa kulea dah...

mlikutana kimjini mjini , muachane kimjini mjini sasa kwa amani tu kama mmeshindwana...
mliokutana facebook, IG, X na humu JF, na mpaka leo mko sawa mbele zaodi ya teknolojia ya mawasiliano, mmeupiga mwingi vizuri sana, sifa na utukufu mrudushueni Mungu.

Nami Baba yenu katika roho na kweli, nawaombea Baraka na Neema za Mungu zidumu, ziambatane na kuandamana nanyi katika uchumba na ndoa zenu imara sasa, daima na milele, Aimen. :KasugaYeah: :KasugaYeah: :ClapHD:
Kuna haja ya kujipa muda wa kutafakari kwa kina kabla hujachukua maamuzi ya kuachana na mwenzi wako ama kufarakana na mwanafamilia ama ndugu na jamaa, kwa sababu zitokanazo na tecknolojia ya mawasiliano.😎
 
Yaani zinaa na makosa mfanye wenyewe alafu mnasingizia teknolojia..☹️
 
Kitu nakukubali wewe , nnje na sisi emi unakuaga na akili mingi tofauti na wenzako😅😅
gentleman,
mimi ni mbobevu wa masuala mbalimbali ya kitaifa, kimataifa, dini na maisha,

na kwahivyo huwezi kukosa kunikubali au kunikataa kulingana na occasions ya theory nitakayo idevelop...

so,
ulipo nipo ndicho naweza sama kwa ufupi.
lakini jambo la maana zaidi naona athari za maendeleo ya teknolojia ya mawasoliano hasa ya simu za mikononi yanavyosambaratisha na kukatisha uhai wa ndoa nyingi sana humy nchini na nyingine ni mahututi ICU, familia na ndoa imekua ndoano, ni kama uwanja wa mapambano ya vita vya ghaza, moja haikai, mbili haikai, chanzo ni meseji kwenye simu ya tochi tu :NoGodNo:
 
gentleman,
mimi ni mbobevu wa masuala mbalimbali ya kitaifa, kimataifa, dini na maisha,

na kwahivyo huwezi kukosa kunikubali au kunikataa kulingana na occasions ya theory nitakayo idevelop...

so,
ulipo nipo ndicho naweza sama kwa ufupi.
lakini jambo la maana zaidi naona athari za maendeleo ya teknolojia ya mawasoliano hasa ya simu za mikononi yanavyosambaratisha na kukatisha uhai wa ndoa nyingi sana humy nchini na nyingine ni mahututi ICU, familia na ndoa imekua ndoano, ni kama uwanja wa mapambano ya vita vya ghaza, moja haikai, mbili haikai, chanzo ni meseji kwenye simu ya tochi tu :NoGodNo:
Ni kweli mkuu ,ushawahi kuwa Clubhouse ?
 
Kuna haja ya kujipa muda wa kutafakari kwa kina kabla hujachukua maamuzi ya kuachana na mwenzi wako ama kufarakana na mwanafamilia ama ndugu na jamaa, kwa sababu zitokanazo na tecknolojia ya mawasiliano.😎
sure,
ustahimilivu, subra, hekima na busara ni muhimu zaidi kwa kweli katika mambo haya:pulpTRAVOLTA:
 
Mambo ni mengi Leo niambiwa hatua nyingine kwenye mawasiliano kwa mwenza(wife) wa jirani yangu. Naambiwa ameanza kwenda na simu hadi Chooni Baada ya kuwa anakuwa nayo kila pahala tofauti na miezi kadhaa nyuma ambapo alikuwa anaiachaacha tu
 
Ni kweli mkuu ,ushawahi kuwa Clubhouse ?
no,
hapana gentleman,
muungwana mwingine aliwahi kunipa habari zinazofanana na hicho unachohoji, lakini majukumu yalinizonga na muda nao ukawa si rafiki kwa upande wangu wakati ule..

ulitamani iweje kwa mfano gentleman?:NoGodNo:
 
no,
hapana gentleman,
muungwana mwingine aliwahi kunipa habari zinazofanana na hicho unachohoji, lakini majukumu yalinizonga na muda nao ukawa si rafiki kwa upande wangu wakati ule..

ulitamani iweje kwa mfano gentleman?:NoGodNo:
Jiunge SH kuna spana sio za kitoto 😆
 
Mambo ni mengi Leo niambiwa hatua nyingine kwenye mawasiliano kwa mwenza(wife) wa jirani yangu. Naambiwa ameanza kwenda na simu hadi Chooni Baada ya kuwa anakuwa nayo kila pahala tofauti na miezi kadhaa nyuma ambapo alikuwa anaiachaacha tu
huyo ameanza kumtia majaribuni, kutikisa imani ya mumewe kwake na kuanza kuhatarisha amani na uhai wa ndoa yake mwenyewe da, simu simu, simu kua na huruma basi kidogo..

halafu hiyo si ndio ile inaitwa
"mwanamke njinga anaivunja ndoa yake, kwa mikono yeye mwenywe" au?:pedroP:
 
Yes, ilimfanya Mao akadukua maongezi vizee vinafki ndani ya Mambuzi.
I'll warahisihsia watekaji kuwasiliana vizuri na kumfikia mlengwa.
Mko tafu mkiwa Porini.
 
gentleman,
mimi ni mbobevu wa masuala mbalimbali ya kitaifa, kimataifa, dini na maisha,
Nakubali broh, upo sahihi hasa kwa mambo ya mbususu, ila kwenye nyanja ya siasa ni zero kabisaa.

Nakushauri ujikite MMU pekee ambapo umebobea afu utanishukuru baadaye
 
Nakubali broh, upo sahihi hasa kwa mambo ya mbususu, ila kwenye nyanja ya siasa ni zero kabisaa.

Nakushauri ujikite MMU pekee ambapo umebobea afu utanishukuru baadaye
kwenye majukwaa mengine nakaba mpaka penati sio gentleman?
watu hawapumui, ni mihemko tu, dah aseee...:pedroP:

pole sana aise,
ubobevu saa zingine unakwaza sana kwasababu unaambatana na ukweli ambao wengi hawapendi kuskia au kuambiwa:pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom