Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea

Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
ni juzi hapa niliweka post ya kununua hard disc kuigeuza iwe external lakini speed yake ya kuhamisha mafaili ilikuwa ndogo sana, wadau wakanipa elimu ndio nikagundua tatizo lipo kwenye kasha / case ya harddisk ni usb 2.0.

1712512270109.png


wafanyabiashara wameshazoea mteja akienda dukani anaulizia bidhaa flan bila kuzingaatia ni usb 2.0 iliyopitwa na wakati, hivyo na wao wanajumua hizo usb 2.0 kwa bei rahisi sana maana huko nje hazina soko, wakituletea huku wanatuuzia mbuzi kwenye gunia kwa tena kwa bei sawa ama zinazokaria usb 3.0


watu wengi wanaingizwa chaka kununua vifaa hivi matoleo ya usb 2.0, ukiwa shopping jitahidi walau kununua toleo la usb 3.0, unaweza kucheki hata kwenye box huwa wanaandika.

makasha ya kusomea harddisk za laptop
1712494203087.png


Wifi adpter

1712495304021.png


Flash
1712494289854.png


dvd drive
1712494408419.png


usb hub
1712494720631.png


Hard disc dock
1712494830549.png


LAN Adapter

1712495358965.png


External graphics card

1712495522384.png
 
Sawa but kumbuka tu karibu 80 ya watanzania wanavifaa ambavyo vinasuport 2.0
Na waliobaki hao amabao wanatumia LAPTOP)DEAKTOP 20 asilimia 10 tu ndo wamesasisha driver ambazo zinusuport 3.0
kumbukw wengi wa watanzania wanatumia frash kweye SUBWOOFA RADIO ZA GARI PKPK kwenye tv deck hawawezi kuharibu pesa yao kununua 3.0 7bu hakuna mabadiriko wala mahitaji yoyote kwao 7bu hata library hizo computer hazisuport 3.0 eidha old model au hawajasasisha DRIVE
kumbuka 3.0 zimekuja kuazia na COMPUTER GENERATION YA 3 baadhi na kwa 4th ikawa COMPUTER
 
Sawa but kumbuka tu karibu 80 ya watanzania wanavifaa ambavyo vinasuport 2.0
Na waliobaki hao amabao wanatumia LAPTOP)DEAKTOP 20 asilimia 10 tu ndo wamesasisha driver ambazo zinusuport 3.0
kumbukw wengi wa watanzania wanatumia frash kweye SUBWOOFA RADIO ZA GARI PKPK kwenye tv deck hawawezi kuharibu pesa yao kununua 3.0 7bu hakuna mabadiriko wala mahitaji yoyote kwao 7bu hata library hizo computer hazisuport 3.0 eidha old model au hawajasasisha DRIVE
kumbuka 3.0 zimekuja kuazia na COMPUTER GENERATION YA 3 baadhi na kwa 4th ikawa COMPUTER
unajua ulichondika ? nikuelimishe ya kwamba hicho ulichoandika COMPUTER GENERATION YA 3 ni computers za zamani sana za miaka ya 1965, enzi wanatumia floppy disk, kulikuwa hakuna cd wala usb.

Hizo data unatoa kwa kukisia bila research ? Usb 3.0 ina miaka 17 hadi sasa, computers nyingi tunazotumia hpa Tz hata kama ni za mitumbai walau zinaanzia 2012 zimewekewa usb 3.0 au zaidi

Usb 3.0 ina speed kubwa ya kucopy mafaili kuliko usb 2.0 kwahio hata kama utaitumia kusikiliza mziki, bado utanufaika kucopy kwa speed kubwa kuzidi usb 2.0 japo kwa speed ndogo.

Kununua kifaa chenye USB 3.0 sio kuharibu pesa, tayari kina Usb 2.0 ndani yake unaua ndege wawili kwa jiwe moja, unaweza kutumia hata kwenye computer zenye usb 2.0

Again computers nyingi kwa sasa zina usb 3.0 zikiwemo za library.
 
Sawa but kumbuka tu karibu 80 ya watanzania wanavifaa ambavyo vinasuport 2.0
Na waliobaki hao amabao wanatumia LAPTOP)DEAKTOP 20 asilimia 10 tu ndo wamesasisha driver ambazo zinusuport 3.0
kumbukw wengi wa watanzania wanatumia frash kweye SUBWOOFA RADIO ZA GARI PKPK kwenye tv deck hawawezi kuharibu pesa yao kununua 3.0 7bu hakuna mabadiriko wala mahitaji yoyote kwao 7bu hata library hizo computer hazisuport 3.0 eidha old model au hawajasasisha DRIVE
kumbuka 3.0 zimekuja kuazia na COMPUTER GENERATION YA 3 baadhi na kwa 4th ikawa COMPUTER
3.0 ni backward compatible na 2.0,
 
Back
Top Bottom