Tel Aviv: Israel yaendelea na mashambulizi nchini syria

Tel Aviv: Israel yaendelea na mashambulizi nchini syria

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Jeshi la Anga la Israel, Israel Air Force(IAF) linafanya mashambulizi ya anga mbalimbali nchini Syria,hii ni baada ya Serikali ya rais Bashar Al Assad wa Syria kuangushwa na Waasi wa Hayat Tahirir Al-Sham(HTS) ambao wanaungwa mkono na nchi ya Uturuki.

Israel inasema kwamba,mashambulizi hayo yanalenga kuharibu silaha za hali ya juu,Maghala ya Makombora ya masafa marefu,mifumo ya ulinzi wa Anga na Viwanda vya Serikali vya kutengeneza Silaha vilivyokuwa vinaendeshwa na Iran. Israel inadai kwamba,haitaki Silaha hizo ziangukie mikononi mwa Waasi hao.

Israel siku ambayo waasi waliudhibiti mji mkuu wa Damascus, ilifanya mashambulizi Damascus yakilenga kituo cha utafiti cha MAZZERL kilichojihusisha na utengenezaji wa Makombora ya Mafasa ya Kati kilichokuwa chini ya Wakufunzi wa kijeshi kutoka Tehran. Pia, Israel imeshambulia kiwanda cha kutengeneza Silaha za Sumu kilichokuwa chini ya udhibiti wa Tehran.

Katika hatua isiyo ya kawaida,Jeshi la ardhini la Israel lililokuwa katika milima ya Golan,limeamliwa kuingia ndani ya Syria umbali wa Kilometa 14 kutoka Milima ya Golan na kuuteka MLIMA HERMON uliokuwa chini ya udhibiti wa jeshi la Syria.

Mlima huo uliopo kwenye Mpaka wa Lebanon na Syria ulikuwa unalindwa na wanajeshi wa Syria ambao Walikimbia wapigano ya waasi waliokuwa wanataka kuuteka pale Assad alipopinduliwa,jeshi la Israel liliingilia kati ya kuchukua udhibiti wa eneo hilo muhimu.
 
Lakini wayahudi wa namanga si walituambia kuwa Israel na hao waasi ni kitu kimoja?
 
Jeshi la Anga la Israel,Israel Air Force(IAF) linafanya mashambulizi ya anga mbalimbali nchini Syria,hii ni baada ya Serikali ya rais Bashar Al Assad wa Syria kuangushwa na Waasi wa Hayat Tahirir Al-Sham(HTS) ambao wanaungwa mkono na nchi ya Uturuki.

Israel inasema kwamba,mashambulizi hayo yanalenga kuharibu silaha za hali ya juu,Maghala ya Makombora ya masafa marefu,mifumo ya ulinzi wa Anga na Viwanda vya Serikali vya kutengeneza Silaha vilivyokuwa vinaendeshwa na Iran. Israel inadai kwamba,haitaki Silaha hizo ziangukie mikononi mwa Waasi hao.

Israel siku ambayo waasi waliudhibiti mji mkuu wa Damascus, ilifanya mashambulizi Damascus yakilenga kituo cha utafiti cha MAZZERL kilichojihusisha na utengenezaji wa Makombora ya Mafasa ya Kati kilichokuwa chini ya Wakufunzi wa kijeshi kutoka Tehran. Pia,Israel imeshambulia kiwanda cha kutengeneza Silaha za Sumu kilichokuwa chini ya udhibiti wa Tehran.

Katika hatua isiyo ya kawaida,Jeshi la ardhini la Israel lililokuwa katika milima ya Golan,limeamliwa kuingia ndani ya Syria umbali wa Kilometa 14 kutoka Milima ya Golan na kuuteka MLIMA HERMON uliokuwa chini ya udhibiti wa jeshi la Syria. Mlima huo uliopo kwenye Mpaka wa Lebanon na Syria ulikuwa unalindwa na wanajeshi wa Syria ambao Walikimbia wapigano ya waasi waliokuwa wanataka kuuteka pale Assad alipopinduliwa,jeshi la Israel liliingilia kati ya kuchukua udhibiti wa eneo hilo muhimu.
Israeli inahaki ya kujilinda
 
Jeshi la Anga la Israel,Israel Air Force(IAF) linafanya mashambulizi ya anga mbalimbali nchini Syria,hii ni baada ya Serikali ya rais Bashar Al Assad wa Syria kuangushwa na Waasi wa Hayat Tahirir Al-Sham(HTS) ambao wanaungwa mkono na nchi ya Uturuki.

Israel inasema kwamba,mashambulizi hayo yanalenga kuharibu silaha za hali ya juu,Maghala ya Makombora ya masafa marefu,mifumo ya ulinzi wa Anga na Viwanda vya Serikali vya kutengeneza Silaha vilivyokuwa vinaendeshwa na Iran. Israel inadai kwamba,haitaki Silaha hizo ziangukie mikononi mwa Waasi hao.

Israel siku ambayo waasi waliudhibiti mji mkuu wa Damascus, ilifanya mashambulizi Damascus yakilenga kituo cha utafiti cha MAZZERL kilichojihusisha na utengenezaji wa Makombora ya Mafasa ya Kati kilichokuwa chini ya Wakufunzi wa kijeshi kutoka Tehran. Pia,Israel imeshambulia kiwanda cha kutengeneza Silaha za Sumu kilichokuwa chini ya udhibiti wa Tehran.

Katika hatua isiyo ya kawaida,Jeshi la ardhini la Israel lililokuwa katika milima ya Golan,limeamliwa kuingia ndani ya Syria umbali wa Kilometa 14 kutoka Milima ya Golan na kuuteka MLIMA HERMON uliokuwa chini
Jeshi la Anga la Israel,Israel Air Force(IAF) linafanya mashambulizi ya anga mbalimbali nchini Syria,hii ni baada ya Serikali ya rais Bashar Al Assad wa Syria kuangushwa na Waasi wa Hayat Tahirir Al-Sham(HTS) ambao wanaungwa mkono na nchi ya Uturuki.

Israel inasema kwamba,mashambulizi hayo yanalenga kuharibu silaha za hali ya juu,Maghala ya Makombora ya masafa marefu,mifumo ya ulinzi wa Anga na Viwanda vya Serikali vya kutengeneza Silaha vilivyokuwa vinaendeshwa na Iran. Israel inadai kwamba,haitaki Silaha hizo ziangukie mikononi mwa Waasi hao.

Israel siku ambayo waasi waliudhibiti mji mkuu wa Damascus, ilifanya mashambulizi Damascus yakilenga kituo cha utafiti cha MAZZERL kilichojihusisha na utengenezaji wa Makombora ya Mafasa ya Kati kilichokuwa chini ya Wakufunzi wa kijeshi kutoka Tehran. Pia,Israel imeshambulia kiwanda cha kutengeneza Silaha za Sumu kilichokuwa chini ya udhibiti wa Tehran.

Katika hatua isiyo ya kawaida,Jeshi la ardhini la Israel lililokuwa katika milima ya Golan,limeamliwa kuingia ndani ya Syria umbali wa Kilometa 14 kutoka Milima ya Golan na kuuteka MLIMA HERMON uliokuwa chini ya udhibiti wa jeshi la Syria. Mlima huo uliopo kwenye Mpaka wa Lebanon na Syria ulikuwa unalindwa na wanajeshi wa Syria ambao Walikimbia wapigano ya waasi waliokuwa wanataka kuuteka pale Assad alipopinduliwa,jeshi la Israel liliingilia kati ya kuchukua udhibiti wa eneo hilo muhimu.
ya udhibiti wa jeshi la Syria. Mlima huo uliopo kwenye Mpaka wa Lebanon na Syria ulikuwa unalindwa na wanajeshi wa Syria ambao Walikimbia wapigano ya waasi waliokuwa wanataka kuuteka pale Assad alipopinduliwa,jeshi la Israel liliingilia kati ya kuchukua udhibiti wa eneo hilo muhimu.
Ana silaha za kuchezea kutoka kwa walipa kodi wa marekani ..huwezi kurusha mabom hovyo hovyo
 
Ana silaha za kuchezea kutoka kwa walipa kodi wa marekani ..huwezi kurusha mabom hovyo hovyo
Silaha za sumu zilikwishapigwa marufuku Duniani. Kwaajili ya usalama wa wananchi wa Syria na Dunia, ni vizuri hivyo viwanda vikafutika.

Lakini pia ili kuzuia uasi dhidi ya Serikali mpya, na uadui kati ya Syria na mataifa jirani, na uwezekano wa silaha hizo kuhamishiwa kwa magaidi ya Hezbollah nchini Lebanon, ni vema kuziangamaiza. Hii itasaidia kuimaliza kabisa Iran, nchi ambayo imeharibu amani ya mashariki ya kati kwa kuyatumia makundi ya kigaidi. Makundi ya kigaidi yakifutika au kumalizwa nguvu, kama Iran inataka vita iingie kwenye maligano yenyewe na siyo kuwatumia watu wengine, na nguvu hiyo Iran haina.
 
😂😂😂 eti tayari.. dah.. zayuni mtoto wa in iblis sio?...
 
Lakini wayahudi wa namanga si walituambia kuwa Israel na hao waasi ni kitu kimoja?
Unaweza ukakuta ndio plan hiyo.. kama hao waasi wala hawajashambulia wanajeshi wa israel hapo mliman wala kutoa maneno ya kupinga israel kuingi syria hii inamaanisha nini
 
Jeshi la Anga la Israel, Israel Air Force(IAF) linafanya mashambulizi ya anga mbalimbali nchini Syria,hii ni baada ya Serikali ya rais Bashar Al Assad wa Syria kuangushwa na Waasi wa Hayat Tahirir Al-Sham(HTS) ambao wanaungwa mkono na nchi ya Uturuki.

Israel inasema kwamba,mashambulizi hayo yanalenga kuharibu silaha za hali ya juu,Maghala ya Makombora ya masafa marefu,mifumo ya ulinzi wa Anga na Viwanda vya Serikali vya kutengeneza Silaha vilivyokuwa vinaendeshwa na Iran. Israel inadai kwamba,haitaki Silaha hizo ziangukie mikononi mwa Waasi hao.

Israel siku ambayo waasi waliudhibiti mji mkuu wa Damascus, ilifanya mashambulizi Damascus yakilenga kituo cha utafiti cha MAZZERL kilichojihusisha na utengenezaji wa Makombora ya Mafasa ya Kati kilichokuwa chini ya Wakufunzi wa kijeshi kutoka Tehran. Pia, Israel imeshambulia kiwanda cha kutengeneza Silaha za Sumu kilichokuwa chini ya udhibiti wa Tehran.

Katika hatua isiyo ya kawaida,Jeshi la ardhini la Israel lililokuwa katika milima ya Golan,limeamliwa kuingia ndani ya Syria umbali wa Kilometa 14 kutoka Milima ya Golan na kuuteka MLIMA HERMON uliokuwa chini ya udhibiti wa jeshi la Syria.

Mlima huo uliopo kwenye Mpaka wa Lebanon na Syria ulikuwa unalindwa na wanajeshi wa Syria ambao Walikimbia wapigano ya waasi waliokuwa wanataka kuuteka pale Assad alipopinduliwa,jeshi la Israel liliingilia kati ya kuchukua udhibiti wa eneo hilo muhimu.
Hii ndio faida ya kuwa na akili. US ya Biden nayo inafanya vivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom