Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Mayahudi hayajaharibu mali, wala kuua au kutesa.Mayahudi wanapenda sana vurugu, kuua, kutesa, kuharibu mali.
Yanaharibu silaha za sumu ili zisitumiwe kuua watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayahudi hayajaharibu mali, wala kuua au kutesa.Mayahudi wanapenda sana vurugu, kuua, kutesa, kuharibu mali.
Soma na uelewe.Mayahudi wanapenda sana vurugu, kuua, kutesa, kuharibu mali.
Wewe ni mjinga sana rafiki, Mseven alisaidiwa na Tanzania kumuondoa Iddi Amin kunvuka Museveni alikua muasi na baada ya vita ghala la silaha la Bushenyi na Mbarara zilidhibitiwa na jeshi la Tanzania kwa siku tatu kisha jishi la Tanzania liliteketeza maghala hayo. Wewe ni mjinga na haujui lolote katika medani za vitaLakini wayahudi wa namanga si walituambia kuwa Israel na hao waasi ni kitu kimoja?
Kwamba haitaki serikali mpya iweze kujilinda dhidi ya uvamizi? This is purely selfishness, kwamba wanaotakiwa kuwa na mifumo ya ulinzi ni Israel pekee? Aisee hawa parasites siku yao itakuja tu ataamka Hitler mwingine one day na atawafundisha how to be humble and rational.Israel inadai kwamba,haitaki Silaha hizo ziangukie mikononi mwa Waasi hao.
Propaganda, yaani kila kitu ni cha Iran ili kujustify kulipua? Kwamba Syria ilikua haina maghala ya silaha? Haya kwanini pia wasilipue maghala yenye silaha za Russia au wanajua sio size yao?Israel siku ambayo waasi waliudhibiti mji mkuu wa Damascus, ilifanya mashambulizi Damascus yakilenga kituo cha utafiti cha MAZZERL kilichojihusisha na utengenezaji wa Makombora ya Mafasa ya Kati kilichokuwa chini ya Wakufunzi wa kijeshi kutoka Tehran. Pia, Israel imeshambulia kiwanda cha kutengeneza Silaha za Sumu kilichokuwa chini ya udhibiti wa Tehran
Adui ni nani? Wao Israel walipoiteka Palestina waliona UK au US inaenda maghala ya silaha za WW 2 huko Tel Aviv miaka ya 1948? huu ni ubinafsi sasa unataka warithi nchi isiyo na radar wala air defense ili nchi isitawalike milele?Mashambulizi ya kimkakati kuhakikisha silaha hazitui mikononi mwa adui
wa Israel wamejifunza, hawataki tena kurudia makosa ya Oct 7.Adui ni nani? Wao Israel walipoiteka Palestina waliona UK au US inaenda maghala ya silaha za WW 2 huko Tel Aviv miaka ya 1948? huu ni ubinafsi sasa unataka warithi nchi isiyo na radar wala air defense ili nchi isitawalike milele?
This is insanity
Kwanini wasimshambulie na Russia huko Syria? Au ungesema tu anashambulia wanyonge tu!wa Israel wamejifunza, hawataki tena kurudia makosa ya Oct 7.
Sasa hivi wanashambulia kabla ya kushambuliwa.
Russia hana direct conflict na Israel. Kwenye vita hakuna mnyonge…Kwanini wasimshambulie na Russia huko Syria? Au ungesema tu anashambulia wanyonge tu!
Hana kivipi na anampa silaha Iran na Hezbollah?Russia hana direct conflict na Israel. Kwenye vita hakuna mnyonge…
Katika dunia ya kibepari, mnakuwa marafiki kwa jambo ambalo wote mna maslahi nalo, baada ya hapo kila mmoja anayalinda maslahi yake binafsiLakini wayahudi wa namanga si walituambia kuwa Israel na hao waasi ni kitu kimoja?
Silaha za sumu zilikwishapigwa marufuku Duniani. Kwaajili ya usalama wa wananchi wa Syria na Dunia, ni vizuri hivyo viwanda vikafutika.
Lakini pia ili kuzuia uasi dhidi ya Serikali mpya, na uadui kati ya Syria na mataifa jirani, na uwezekano wa silaha hizo kuhamishiwa kwa magaidi ya Hezbollah nchini Lebanon, ni vema kuziangamaiza. Hii itasaidia kuimaliza kabisa Iran, nchi ambayo imeharibu amani ya mashariki ya kati kwa kuyatumia makundi ya kigaidi. Makundi ya kigaidi yakifutika au kumalizwa nguvu, kama Iran inataka vita iingie kwenye maligano yenyewe na siyo kuwatumia watu wengine, na nguvu hiyo Iran haina.
Pole Sana mkuuKwamba haitaki serikali mpya iweze kujilinda dhidi ya uvamizi? This is purely selfishness, kwamba wanaotakiwa kuwa na mifumo ya ulinzi ni Israel pekee? Aisee hawa parasites siku yao itakuja tu ataamka Hitler mwingine one day na atawafundisha how to be humble and rational.
Usa anampa silaha ukraine ushaona urusi akirusha hata jiwe washington, haya mambo mazito kwako huyaweziHana kivipi na anampa silaha Iran na Hezbollah?