Telecom Engineering ni Dili au ni nzur kwa kuisomea kwa xaxa?

Telecom Engineering ni Dili au ni nzur kwa kuisomea kwa xaxa?

Ilikuwa hot cake ni course nzuri ...ila inaonekana kama vile wataalam wamekuwa wengi kulinaganisha na nafasi za kazi ingawa kitalakimu ni wachache kulinganisha na mchepuo kama wa civil etc....wadau wake wakubwa ni makampuni ya simu,na Aviation na wehemu zingine kidogo kidogo.

Unaposoma kwa maisha ya sasa unaangalia soko la ajira ...soko la Telecom liko saturated(maji yamezidi unga ama unga umezidi maji either way...wataalam wamezidi nafasi za kazi) kwa sasa ...ila you never know ngoma ya mchezo inaweza kubadilika kidogo kama makampuni ya simu mengine yakiibuka demand ya Telem expertise inaweza ongezeka.
Pili unaweza soma hiyohiyo na kuangalia namna ya kujiajili au kwenda nchi za jirani zenye uhitaji
Unajikuta mwisho wa siku wewe ndio mwenye maamuzi cha muhimu ni kujua tuu what to expect

ahsante kaka but kwan kwenye Vyombo vya habar na Banks hazihitaji Telecom n kwenye simu tuu?
 
Ahsante kaka kwa ushauri wako mzuri me naipenda sana Telecom sema maneno ya watu wanasema siku hizi cio dili kuajiriwa ni vigumu but me nlitaka nkimaliza OD nikachukue Degree

Kama kweli we ni timamu huwezi babaishwa na maneno ya watu!! Kama unapenda TEL just go for it!! Ni bora usome unachopenda maana ukisoma kitu kulingana na watu itakusumbua tu mbeleni!! Na mwisho wa siku watu hao hao uliowaskiliza wataanza kukucheka umefeli!! Sasa hapo changanya na zako!!! Lakini lazima niwe mkweli huu uandishi wako wa kifesibuku fesibuku unatia kinyaa...unakua kama hujui kuandika bwana???? Embu rekebika kijana!!
 
Back
Top Bottom