Telegram sasa itaanza kutoa taarifa za watumiaji wake kwa serikali kwa madai halali

Telegram sasa itaanza kutoa taarifa za watumiaji wake kwa serikali kwa madai halali

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mkurugenzi Mtendaji wa Telegram, Pavel Durov, ameripotiwa kukubali kutoa anwani za IP na namba za simu za watumiaji app yake kwa serikali mbalimbali duniani ambazo zitaomba data za watumiaji wake.

Durov, bilionea mwenye uraia wa Urusi na Ufaransa, ambaye alikamatwa nchini Ufaransa mwezi uliopita na kushtakiwa kwa makosa kadhaa ikiwa ni pamoja na kusaidia kusambaza video za ngono za watoto kupitia app yake ya Telegram, alitangaza taarifa hiyo Jumatatu.

Kwa mujibu wa Durovu alidokeza kuwa Telegram imebadilisha masharti yake ya huduma ili kuzuia na kukabiliana na wahalifu wanaotumia huduma hiyo.

Taarifa hii mpya inaonesha mabadiliko makubwa kutoka kwenye sera za awali za Telegram ambazo mara nyingi zilikuwa zikikataa maombi ya serikali ya kupata data za watumiaji.

Soma Pia: CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

Telegram ilivutis mamilioni ya watumiaji duniani kote kutokana na sifa yake ya kulinda faragha za watumiaji kwa kuepuka kukusanya data zao na kukataa ushirikiano na maafisa wa serikali.

Durov aliandika kwenye chapisho lake katika chaneli yake ya Telegram kuwa masharti hayo mapya ya huduma yao yana lengo la "kuhakikisha app hiyo inaendana na sheria ya kote duniani,"

photo_6021867723694391845_x.jpg

================

Messaging app Telegram made significant changes to its terms of service, chief executive officer Pavel Durov said in a post on the app on Monday.

The app’s privacy conditions now state that Telegram will now share a user’s IP address and phone number with judicial authorities in cases where criminal conduct is being investigated.

Telegram-linked Toncoin (TON) declined about 1% after Bloomberg first reported about the changes. The token is currently trading at $5.62.

The changes come after Durov was arrested in France last month, when authorities alleged his company let users abuse the app for illegal activities, including drug trafficking, distribution of child sexual abuse material (CSAM) and fraud.

Source: Politico, New York Post
 
Dah, sasa wale wadau wa kina Aisha Kishuzi kwenye group la nye nje nje si wanaweza kutwa wanaitwa central kwa kosa la kununua nyapu.

Unakuta afande ana chat history yako yote ulivyokuw unaomba punguzo la tigo.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Telegram, Pavel Durov, ameripotiwa kukubali kutoa anwani za IP na namba za simu za watumiaji app yake kwa serikali mbalimbali duniani ambazo zitaomba data za watumiaji wake.

Durov, bilionea mwenye uraia wa Urusi na Ufaransa, ambaye alikamatwa nchini Ufaransa mwezi uliopita na kushtakiwa kwa makosa kadhaa ikiwa ni pamoja na kusaidia kusambaza video za ngono za watoto kupitia app yake ya Telegram, alitangaza taarifa hiyo Jumatatu.

Kwa mujibu wa Durovu alidokeza kuwa Telegram imebadilisha masharti yake ya huduma ili kuzuia na kukabiliana na wahalifu wanaotumia huduma hiyo.

Taarifa hii mpya inaonesha mabadiliko makubwa kutoka kwenye sera za awali za Telegram ambazo mara nyingi zilikuwa zikikataa maombi ya serikali ya kupata data za watumiaji.

Soma Pia: CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

Telegram ilivutis mamilioni ya watumiaji duniani kote kutokana na sifa yake ya kulinda faragha za watumiaji kwa kuepuka kukusanya data zao na kukataa ushirikiano na maafisa wa serikali.

View attachment 3105392
Durov aliandika kwenye chapisho lake katika chaneli yake ya Telegram kuwa masharti hayo mapya ya huduma yao yana lengo la "kuhakikisha app hiyo inaendana na sheria ya kote duniani,"

===================================

Messaging app Telegram made significant changes to its terms of service, chief executive officer Pavel Durov said in a post on the app on Monday.

The app’s privacy conditions now state that Telegram will now share a user’s IP address and phone number with judicial authorities in cases where criminal conduct is being investigated.

Telegram-linked Toncoin (TON) declined about 1% after Bloomberg first reported about the changes. The token is currently trading at $5.62.

The changes come after Durov was arrested in France last month, when authorities alleged his company let users abuse the app for illegal activities, including drug trafficking, distribution of child sexual abuse material (CSAM) and fraud.

Source: Politico, New York Post
Mbona hata Mitandao mingine ambayo tunaiamini sana duniani nayo pia Kisiri imeanza kutoa Siri za Watumiaji wao?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Telegram, Pavel Durov, ameripotiwa kukubali kutoa anwani za IP na namba za simu za watumiaji app yake kwa serikali mbalimbali duniani ambazo zitaomba data za watumiaji wake.

Durov, bilionea mwenye uraia wa Urusi na Ufaransa, ambaye alikamatwa nchini Ufaransa mwezi uliopita na kushtakiwa kwa makosa kadhaa ikiwa ni pamoja na kusaidia kusambaza video za ngono za watoto kupitia app yake ya Telegram, alitangaza taarifa hiyo Jumatatu.

Kwa mujibu wa Durovu alidokeza kuwa Telegram imebadilisha masharti yake ya huduma ili kuzuia na kukabiliana na wahalifu wanaotumia huduma hiyo.

Taarifa hii mpya inaonesha mabadiliko makubwa kutoka kwenye sera za awali za Telegram ambazo mara nyingi zilikuwa zikikataa maombi ya serikali ya kupata data za watumiaji.

Soma Pia: CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

Telegram ilivutis mamilioni ya watumiaji duniani kote kutokana na sifa yake ya kulinda faragha za watumiaji kwa kuepuka kukusanya data zao na kukataa ushirikiano na maafisa wa serikali.

View attachment 3105392
Durov aliandika kwenye chapisho lake katika chaneli yake ya Telegram kuwa masharti hayo mapya ya huduma yao yana lengo la "kuhakikisha app hiyo inaendana na sheria ya kote duniani,"

===================================

Messaging app Telegram made significant changes to its terms of service, chief executive officer Pavel Durov said in a post on the app on Monday.

The app’s privacy conditions now state that Telegram will now share a user’s IP address and phone number with judicial authorities in cases where criminal conduct is being investigated.

Telegram-linked Toncoin (TON) declined about 1% after Bloomberg first reported about the changes. The token is currently trading at $5.62.

The changes come after Durov was arrested in France last month, when authorities alleged his company let users abuse the app for illegal activities, including drug trafficking, distribution of child sexual abuse material (CSAM) and fraud.

Source: Politico, New York Post
Watabakia wenyewe na familia zao
 
Sasa hivi serikali inaweza kutunga kesi ya uongo kwamba wanakuchunguza ili wapate access ya details zako telegram.

Sasa hivi mtandao pekee naouamini ni Twitter ya Elon Musk. Yeye alishasema wazi kwamba maombi ya kidwanzi hakubaliani nayo na maombi yoyote kuhusu mtumiaji lazima mtumiaji atajulishwa kama taarifa zake zimeombwa na zimeombwa na nani na kwa sababu gani.

Elon amesema hata wakimuwekea bunduki kichwani hawezi kutoa taarifa za mtumiaji isipokua kwa mujibu wa sheria na lazima mtumiaji ajulishwe taarifa zake zimeombwa na mamlaka flani.

Wakuu kama unataka privacy, hamia X.
 
Sasa hivi serikali inaweza kutunga kesi ya uongo kwamba wanakuchunguza ili wapate access ya details zako telegram.

Sasa hivi mtandao pekee naouamini ni Twitter ya Elon Musk. Yeye alishasema wazi kwamba maombi ya kidwanzi hakubaliani nayo na maombi yoyote kuhusu mtumiaji lazima mtumiaji atajulishwa kama taarifa zake zimeombwa na zimeombwa na nani na kwa sababu gani.

Elon amesema hata wakimuwekea bunduki kichwani hawezi kutoa taarifa za mtumiaji isipokua kwa mujibu wa sheria na lazima mtumiaji ajulishwe taarifa zake zimeombwa na mamlaka flani.

Wakuu kama unataka privacy, hamia X.

Elon anatoa kwa mujibu wa sheria na huyu nae atatoa ili kuendana na sheria. Kifupi wote wanatoa. Privacy is an illusion.
 
Elon anatoa kwa mujibu wa sheria na huyu nae atatoa ili kuendana na sheria. Kifupi wote wanatoa. Privacy is an illusion.
Fuatilia mgogoro wa Elon na serikali ya Brazil hadi Twitter imefungiwa Brazil. Kitendo cha kwamba wewe mhusika utajulishwa account yako iko accessed inaongeza ngazi ya uaminifu. Huwezi kukataza mtu asiwe investigated lakini kupata taaarifa zake ni lazima ajue.

Hata Diddy alipovamiwa kwake kuchunguzwa na kukutwa na mafuta chupa 1000 mamlaka iliomba kibali kisheria na wakapewa kisheria ndio maana wanapata access ya kumkagua Diddy. Na wakija watakuonyesha search warrant.

Taarifa zako zitatolewa tu, hilo halina ubishi, je zinatolewaje na mimi mwenye taarifa najuaje ama sijui ni jambo lingine.
 
Fuatilia mgogoro wa Elon na serikali ya Brazil hadi Twitter imefungiwa Brazil. Kitendo cha kwamba wewe mhusika utajulishwa account yako iko accessed inaongeza ngazi ya uaminifu. Huwezi kukataza mtu asiwe investigated lakini kupata taaarifa zake ni lazima ajue.

Hata Diddy alipovamiwa kwake kuchunguzwa na kukutwa na mafuta chupa 1000 mamlaka iliomba kibali kisheria na wakapewa kisheria ndio maana wanapata access ya kumkagua Diddy. Na wakija watakuonyesha search warrant.

Taarifa zako zitatolewa tu, hilo halina ubishi, je zinatolewaje na mimi mwenye taarifa najuaje ama sijui ni jambo lingine.

Ni kufuata utaratubu tu ila taarifa kutolewa kupo pale pale.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Telegram, Pavel Durov, ameripotiwa kukubali kutoa anwani za IP na namba za simu za watumiaji app yake kwa serikali mbalimbali duniani ambazo zitaomba data za watumiaji wake.

Durov, bilionea mwenye uraia wa Urusi na Ufaransa, ambaye alikamatwa nchini Ufaransa mwezi uliopita na kushtakiwa kwa makosa kadhaa ikiwa ni pamoja na kusaidia kusambaza video za ngono za watoto kupitia app yake ya Telegram, alitangaza taarifa hiyo Jumatatu.

Kwa mujibu wa Durovu alidokeza kuwa Telegram imebadilisha masharti yake ya huduma ili kuzuia na kukabiliana na wahalifu wanaotumia huduma hiyo.

Taarifa hii mpya inaonesha mabadiliko makubwa kutoka kwenye sera za awali za Telegram ambazo mara nyingi zilikuwa zikikataa maombi ya serikali ya kupata data za watumiaji.

Soma Pia: CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

Telegram ilivutis mamilioni ya watumiaji duniani kote kutokana na sifa yake ya kulinda faragha za watumiaji kwa kuepuka kukusanya data zao na kukataa ushirikiano na maafisa wa serikali.

Durov aliandika kwenye chapisho lake katika chaneli yake ya Telegram kuwa masharti hayo mapya ya huduma yao yana lengo la "kuhakikisha app hiyo inaendana na sheria ya kote duniani,"


================

Messaging app Telegram made significant changes to its terms of service, chief executive officer Pavel Durov said in a post on the app on Monday.

The app’s privacy conditions now state that Telegram will now share a user’s IP address and phone number with judicial authorities in cases where criminal conduct is being investigated.

Telegram-linked Toncoin (TON) declined about 1% after Bloomberg first reported about the changes. The token is currently trading at $5.62.

The changes come after Durov was arrested in France last month, when authorities alleged his company let users abuse the app for illegal activities, including drug trafficking, distribution of child sexual abuse material (CSAM) and fraud.

Source: Politico, New York Post
Nilishaachana na Telegram mwaka wa tatu sasa
 
The app’s privacy conditions now state that Telegram will now share a user’s IP address and phone number with judicial authorities in cases where criminal conduct is being investigated.
Hawa wanaotafutwa zaidi ni criminals kama wauza madawa na human trafficking
Ila mjichunge sasa Mrusi kabanwa kende na wafaransa
 
Dah, sasa wale wadau wa kina Aisha Kishuzi kwenye group la nye nje nje si wanaweza kutwa wanaitwa central kwa kosa la kununua nyapu.

Unakuta afande ana chat history yako yote ulivyokuw unaomba punguzo la tigo.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dah, sasa wale wadau wa kina Aisha Kishuzi kwenye group la nye nje nje si wanaweza kutwa wanaitwa central kwa kosa la kununua nyapu.

Unakuta afande ana chat history yako yote ulivyokuw unaomba punguzo la tigo.
hayo magroup jamaa kayasambaratisha yote
 
Back
Top Bottom