Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja!

Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja!

Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi.. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Akili za uzeeni hizi kuna wakati unakuwa kama mtoto vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi.. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
sasa TCRA na vituo kama bbc na aljazeera wapi na wapi ?
 
mkuu ww ndiye unayepata taaruki kwa kufuatilia habari bila kula chakula, jipe muda wa kula na kufanya mambo mengine hutoona shida
 
Rais wa Brazil ameziponda media vilevile, amesema haya ni mafua tu watu wapige kazi. Rais wa Mexico vile vile. Naona na sisi kama tunaelekea huko taratibu.
Media zimeikoroga dunia na kuiacha chapa chapa!
 
Kwani wanatusema nini wanamizengo maana wengine kwa jinsi hali ilivyobana hata kuangalia tv unaona inakupigia makelele
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.

Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.

Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.

Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Lugha inayoongelewa huko huielewi bado unataka wafungiwe
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.

Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.

Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.

Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.

Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.

Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.

Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Stupid Tanzanian fella. With very low Iq.
To hell.
This is just crap and rubbish
 
🤣🤣🤣
Watu wengine buana mpo kuongeza siku za wengine, maana kucheka napo ni afya, mkuu nimecheka hataree, nimelinganisha kilichoandikwa na ulichoandika ni vitu viwili tofauti, nimechekaje
hahahahahaha, ila nilimaanisha hata wakificha taarifa ambazo ni za kweli, kama ni ugonjwa kusambaa utasambaa tuu.

Muhimu kuchukua tahadhari na kujifunza kupitia makosa ya wengine.
 
Hatari sana...

Wametoka kwenye kufunga mashule na kazi kwa siku 30...

Sasa wamekuja na zuia la kutoonekana nje kuanzia 07pm - 05am... kila siku...



Cc: mahondaw
 
Ni Tisiaraei gani unayoizungumzia? Hii ambayo ilikuwa inafunga laini za simu kwa awamu? Ndo izifungie bibisi?
 
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.

Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.

Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.

Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Eti 'uvujaji wa taarifa zisizotuhusu'!! Ina maana sisi ni wa sayari nyingine? Damn it?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom