Ridhwani Mbaraka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 484
- 1,135
Labda kama ni propaganda.Naunga mkono, ila kiukweli hali kwa wenzetu ni mbaya sana. Dawa ni kufanya self censorship, usiangalie.
P
Kutoangalia ni kutojifunza!
Jamii lazima ijifunze kupita kweli zilizopo katika dunia na kwa kupitia vyombo vya habari.
Mwanahabari unapokua na mawazo haya ni hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app