Akili za uzeeni hizi kuna wakati unakuwa kama mtoto vile.Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi.. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
sasa TCRA na vituo kama bbc na aljazeera wapi na wapi ?Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi.. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Media zimeikoroga dunia na kuiacha chapa chapa!Rais wa Brazil ameziponda media vilevile, amesema haya ni mafua tu watu wapige kazi. Rais wa Mexico vile vile. Naona na sisi kama tunaelekea huko taratibu.
Wabongo hawawezi self censorshipNaunga mkono, ila kiukweli hali kwa wenzetu ni mbaya sana. Dawa ni kufanya self censorship, usiangalie.
P
Hivi kuna nchi yoyote ya Amerika ya Kusini iliyoripoti kuwepo mgonjwa ?Rais wa Brazil ameziponda media vilevile, amesema haya ni mafua tu watu wapige kazi. Rais wa Mexico vile vile. Naona na sisi kama tunaelekea huko taratibu.
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.
Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Naunga mkono, ila kiukweli hali kwa wenzetu ni mbaya sana. Dawa ni kufanya self censorship, usiangalie.
P
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.
Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Stupid Tanzanian fella. With very low Iq.Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.
Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.
Mi nafikiri ndo yeye huyo bashitewewe nafikiri ni jamii ya akina Makonda
hahahahahaha, ila nilimaanisha hata wakificha taarifa ambazo ni za kweli, kama ni ugonjwa kusambaa utasambaa tuu.🤣🤣🤣
Watu wengine buana mpo kuongeza siku za wengine, maana kucheka napo ni afya, mkuu nimecheka hataree, nimelinganisha kilichoandikwa na ulichoandika ni vitu viwili tofauti, nimechekaje
Sasa asipoangalia atajifunza nini kwa kinachoendelea duniani? Kwani wanatangaza uwongo?Naunga mkono, ila kiukweli hali kwa wenzetu ni mbaya sana. Dawa ni kufanya self censorship, usiangalie.
P
Eti 'uvujaji wa taarifa zisizotuhusu'!! Ina maana sisi ni wa sayari nyingine? Damn it?Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.
Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao kwa sasa wamekwisha taharuki.
Tusipodhibiti 'uvujaji' wa taarifa zisizotuhusu tutapata athari kubwa kiuchumi.
Badala ya kufunga sijui Airport na mipaka, ni bora kufungia hizi stations... TCRA chukueni hatua.