JSmart Mind
Member
- Dec 3, 2017
- 22
- 14
Mkuu badala ya kujihurumia wewe tunavyokupa kipigo Cha mbwa Koko wewe unaonea gere mishahara yetu
Ndugu, umedhamiria kweli au umepitiwa tu? Au Dharau!?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Hawa wasanii wanaisapoti ccm Ila waoga Sana wanaogopeMsanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Polisi wa tz wanakula chini ya 500,000.Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Dah...hawakupenda kuambiwa ukweli?Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Ubongo wako Ni Kama kongoro lililoiva kupindukiaPolice wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Kwa taarifa nilizonazo polisi wetu wa cheo cha chini wanao hudumu ulinzi wa amani kule Darful ndiko wanalipwa kuanzia kima icho na zaidi ila siyo Tz.Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Sipati picha watakavyo muundia zengweWao wanataka waimba mapambio ya kusifu na kumuabudu ,mungu wa ccm, yesu wa ccm ndio wanayopenda kuyasikia.
Umemfunga mdomoUnajua humu kuna bank officers, ambapo mishahara yenu inapitia huko pamoja na kupeleka salary slip zenu mkiwa mnataka mikopo, kuna mangi wenye maduka mtaani kwenu mnapoenda kukopa chakula na kuacha ATM card zenu kama dhamana ya mkopo, ivyo punguza uhongo bro
Mishahara yao ipo chini sanaHuyo bosi wao mwenyewe hawezi fika hata 7
Nyie ni wavuta bhange wooteUongo mwingine bausaidii!
Alafu si ulisema huna Muda wa kupoteza kufuatilia wapuuzi? Kumbe unafuatilia kimya kimya?
Huyu msanii atafika mbali sana kimzikiHuyu anajielewa, kongole kwa wote walioamka na kuwa huru kifikra.
Wewe mbona una fuatilia hapa jamvini?Kumbe unafuatilia?
Umeandika ukiwa tungi au!?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliye ajiriwa kuanza Leo anaanza na 5m take home
Zote anazo Mangi dukani kwakeHakuna mwenye kaclip jamani?
Wana lumumba wote mnatumia majaniNingeshangas kama waimbaji 200 wote wanafanana akili ukitilia maanani majani wanayotumia!