Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Ndugu, umedhamiria kweli au umepitiwa tu? Au Dharau!?
 
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!

"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"

Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.

Watu wanatema nyongo live!
Hawa wasanii wanaisapoti ccm Ila waoga Sana wanaogope
 
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!

"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"

Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.

Watu wanatema nyongo live!
Dah...hawakupenda kuambiwa ukweli?
 
...Natarajia kidole chako kimetereza katika kubofya hizo tarakimu!
Kitakuwa kimebofya kizenji!
Polisi wa Tanzania apokee Milioni 5 kwa Mwezi???
Wangekuwa wanatubana tutoe hela ya kupiga kiwi viatu vyao????
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
 
Waliokwenda pale Ni watu wasio na kazi. Watu wasio na mbele wala nyuma. Hakuna hata kijana mmoja mwenye shughuli yake inayomuingizia kihalali alikwenda pale. Pia Kuna wachache waliokwenda kumuona King na Mondi.
 
Loooh Bavicha Wanapenda Dezo Yaani Wamejazana Tamasha La CCM mpaka Inashangaza....

CCM km Maji Vile....Kuoga Huyataki,Basi Hata Kunywa Na Kipupwe Hichi?!!!
 
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Kwa taarifa nilizonazo polisi wetu wa cheo cha chini wanao hudumu ulinzi wa amani kule Darful ndiko wanalipwa kuanzia kima icho na zaidi ila siyo Tz.
 
Unajua humu kuna bank officers, ambapo mishahara yenu inapitia huko pamoja na kupeleka salary slip zenu mkiwa mnataka mikopo, kuna mangi wenye maduka mtaani kwenu mnapoenda kukopa chakula na kuacha ATM card zenu kama dhamana ya mkopo, ivyo punguza uhongo bro
Umemfunga mdomo
 
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Umeandika ukiwa tungi au!?
 
Back
Top Bottom