Tembele Bamia na mchicha, kwa lugha ya kiingereza hivi vitu vinaitwaje?

Tembele Bamia na mchicha, kwa lugha ya kiingereza hivi vitu vinaitwaje?

bamia -ladyfinger au oats km sikosei

mchicha nishasahu ila biologiocal name nakumbuka form 1 amaranther
 
huwa somtym unatumia kinywaji?/ mbn umekuwa payupayu sana ? ni wewe kweli? toka kwenye interview full kivuruge why dis !yy kaomba kujua hayo mawili wewe unamuwekea mengine!!!!!!!!!
kageuka mbayuwayu[emoji2] [emoji2]
 
Duh mi nalima tu ila sivijui kwa kiingereza sasa juzi kati hapa wazungu wmenitoa jasho ndiyo nikasema kuna umuhimu wa kuvijua
 
Back
Top Bottom