Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Nilikuja kuijua baadae baada ya kumuuliza Mganda mmoja tukiwa huko nje. Ila nilijisikia vibaya sana. Hata chipsi wenzetu walikuwa wanaita French fries, sisi wabongo tumekazana chips, tukawa tunapishana nao lugha. Lakini nilijifunza mambo especially menu za misosiSalad mkuu