[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena!
View attachment 1685748
Kajojo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unalia? Hii ndio Serikali yenuNi jambo jema!
Huyo Meya ni wa Chadema.
Itakuwaje sherehe nifanye nyumbani kwangu wewe uje unitoze kodi, haya ndio mambo ya akina Mamwindi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio muda hadi wanaume kusimamisha itabidi mlipie kodi.
Haiwezekani usimamishe dude lako bure bure, au nasema uongo ndugu zangu?
Mitano tena.
Wamesajiliwa na wanalipa kodi wapi?
Kwahiyo hao madiwani ni wajinga na wanataka watu walipe kodi mara mbili?
Birthday ni starehe 😂 ,,, sahivi kodi sio za biashara tu...Starehe yeyote lazima uilipie kodi hata kugongana na mpenzi wako lazma ulipe kodiHii nchi tunakoelekea sijui aiseeee mi birthday yangu nyumbani kodi ya nini kwani birthday ni biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani bar kwangu, mziki ni wangu halafu aje shoga kuniletea habari za kodi ya muziki. Kitakachompata atakipenda 😂😂😂!!!
Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe
Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday
Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa kwa watu wote watakahitaji kupiga muziki kwenye shughuli nyingine zote zinazofabana na zilizotajwa
Eeh tutawahukumu kupitia sheria ya trespassing. Ni mwendo wa Ali Mfuweni tu😂Wakikufuata nyumbani watakuwa wanajitafutia kupasuliwa
In God we Trust
Hiyo ndiyo dawa yaoEeh tutawahukumu kupitia sheria ya trespassing. Ni mwendo wa Ali Mfuweni tu[emoji23]
View attachment 1004436
Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe
Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday
Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa kwa watu wote watakahitaji kupiga muziki kwenye shughuli nyingine zote zinazofabana na zilizotajwa
[emoji3][emoji3][emoji3] lazima kiwake na wanavyokuwaga na njaa watakuwa wanachakazwa kama jogoo mlevi haa haa haa!Watu washapiga vyombo then uje uwaletee mapichapicha,kitawaka tuu.
Haaa haaa hizo sherehe wanatunza pesa kwenye kibubu mkuuBora iwe hivyo maana sherehe zimezidi sasa na michango. Watanzania badala ya kuchangia school fees wanachangia sherehe za ajabu ajabu. Hongera sana uongozi wa Dar kwa maamuzi hayo.
Kwahiyo wasiosimamisha wameula ??? Ila mie napita tuu!Sio muda hadi wanaume kusimamisha itabidi mlipie kodi.
Haiwezekani usimamishe dude lako bure bure, au nasema uongo ndugu zangu?
Mitano tena.
😂😂View attachment 1004436
Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe
Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday
Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa kwa watu wote watakahitaji kupiga muziki kwenye shughuli nyingine zote zinazofabana na zilizotajwa