Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Haieleweki sababu yake hasa ni nini , ukiuliza Wafanyakazi wa Tanesco hawana majibu ? bali wanasema kwamba wao wameelekezwa kukata tu.
Tunafahamu kwamba Temeke mara zote inatajwa kuishi watu duni , lakini watu wake siyo duni kama Tanesco ilivyokaririshwa, wanazo akili na iko siku watalipa huu uchafu , yaani wao kwa wiki sasa wanakatiwa umeme mchana na usiku na wamenyamaza tu. sisi wenye viwanda tunatumia gharama kubwa mno kwenye uzalishaji na hakuna anayejali.
Lakini iko siku mtajua umuhimu wa Temeke , Endeleeni
Tunafahamu kwamba Temeke mara zote inatajwa kuishi watu duni , lakini watu wake siyo duni kama Tanesco ilivyokaririshwa, wanazo akili na iko siku watalipa huu uchafu , yaani wao kwa wiki sasa wanakatiwa umeme mchana na usiku na wamenyamaza tu. sisi wenye viwanda tunatumia gharama kubwa mno kwenye uzalishaji na hakuna anayejali.
Lakini iko siku mtajua umuhimu wa Temeke , Endeleeni