TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Chanzo: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
 
Bado harufu ya ufisadi haiwezi kuondoka kirahisi. Kwa nini wakakarabati Kenya, na wakati ndani ya nchi yetu tuna kampuni ya wazawa ya Songoro Marines ambao wana uwezo wa kutengeneneza hata kivuko kipya?

Kwa nini viongozi wetu wanakosa uzalendo kwa vitu vidogo kama hivi?
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
IMG-20230217-WA0056.jpg
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
Uchaguzi unakaribia, lazima tujipange, chama chetu cha Mambuzi hakiwezikushindwa,
uchaguzi unahitaji pesa,
Siasa ni sayansi bwashee


Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom