TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

.
20230218_150818.jpg
 
Kwann serikali isiongeze hela ili kinunuliwe kivuko kipya? Maana ukichanganya na masurufu ya posho za wahandisi wanaokwenda Kenya kusimamia ubora wa ukarabati itafika bilioni 12.
 
Bado harufu ya ufisadi haiwezi kuomdoka kirahisi. Kwa nini wakakarabati Kenya, na wakati ndani ya nchibyetu tuna kampuni ya wazawa ya Songoro Marines ambao wana uwezo wa kutengeneneza hata kivuko kipya?

Kwa nini viongozi wetu wanakosa uzalendo kwa vitu vidogo kama hivi?

Songoroa ametaka 10+Bilion wakati wa Kenya ametaka 7.5Bilion
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
CAG atakuja kutueleza wakati wake ukifika..!! Time will tell..!!
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
Naungana na Dr mollel. Yaani vijana nchini kwako hawana ajira lakini serikali inapeleka fursa za ajira ugenini! Kampuni zetu za ndani zimekadiriwa Kodi lakini hazipewi kandarasi! Kampuni zetu za ndani zimeajiri wananchi ambao Wana familia na wanalipa Kodi serikalini Ila Cha ajabu wananyimwa kazi na wanapelekewa nchi jirani wakanufaike!
Kwa kauli Ile ya Dr wa meno inastahili taji la dhahabu kwani imejidhihirisha kwa Prof sijui wa nini! Hivi mzee wa piko na panki style ya pimbi hajarejea kutoka tunduma akaliangalie na hili?
Fukuza na weka ndani hao wasiowatakia mema watanzania!
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!

Kikisha karabatiwa kitakuwa na uwezo wa kufanya kazi miaka mingapi tena bila kuhitaji marekebisho mengine makubwa?

Je, kikinunuliwa kipya kitakuwa na uwezo wa kufanya kazi miaka mingapi bila kuhitaji ukurabati wa gharama kubwa?
 
Uchaguzi unakaribia, lazima tujipange, chama chetu cha Mambuzi hakiwezikushindwa,
uchaguzi unahitaji pesa,
Siasa ni sayansi bwashee


Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app

Siasa siyo sayansi.
Siasa ni uongo, ulaghai, utapeli, uwizi, dhuruma, you name it.

Sayansi ni vitu vyenye facts hakuna longolongo au ujanjaujanja.

Eti Political Science!!! Makubwa
 
Bado harufu ya ufisadi haiwezi kuomdoka kirahisi. Kwa nini wakakarabati Kenya, na wakati ndani ya nchibyetu tuna kampuni ya wazawa ya Songoro Marines ambao wana uwezo wa kutengeneneza hata kivuko kipya?

Kwa nini viongozi wetu wanakosa uzalendo kwa vitu vidogo kama hivi?
Ushindani kwa njia ya zabuni
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
Dah kweli huu ni ujinga aliousema Dr Molel
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya.

Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya.

TEMESA yafafanua:

MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 1756.

MV Magogoni kitakarabatiwa kwa Euro 3,043,791 Sawa na Tsh 7.5 billion Mwaka 2023, exchange rate ikiwa Euro 1 = Tsh 2487.

Gharama za ukarabati wa MV Magogoni ni Sawa na 57.8 tu ya gharama iliyonunuliwa.

Source: Jambo TV

Nawatakia Dominica njema Kesho!
Pamoja na huo ufafa..nuzi hatukubaliii!!!
 
Back
Top Bottom