TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

Bado harufu ya ufisadi haiwezi kuondoka kirahisi. Kwa nini wakakarabati Kenya, na wakati ndani ya nchi yetu tuna kampuni ya wazawa ya Songoro Marines ambao wana uwezo wa kutengeneneza hata kivuko kipya?

Kwa nini viongozi wetu wanakosa uzalendo kwa vitu vidogo kama hivi?
CCM ni wote wapigaji wanazidiana viwango tu
 
Je mpka leo 2023 bado ni 8b ?
Inawezekana Kama watu walikuwa wanavuka bure tangu hiyo 2008 kilipoletwa hicho kivuko .

Haiwezekani sisi bodaboda unaendesha bodaboda yako Hadi unanunua nyingine Mpya kupitia boda yako ya Mwanzo so ili Jambo linafikirisha upuuzi mtupu na wizi umejaa Tamesa na serikalini kuendesha Biashara ambayo haizai
 
Hoja ni nyingi, hazijaibwa ikiwa ni pamoja taratibu za manunuzi, kutokuwepo na taarifa ya tangazo la tenda, mnafanya sherehe ya utiaji saini ni matumizi mabaya ya fedha, kilipelekwa jeshi kimerudije na.....kibao.
 
Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya...
Wakiwa wanatuletea makusanyo ya kodi wawe wanaziweka pia kwenye Euro badala ya kutuambia tu kuwa makusanyo yameongezeka.
 
Back
Top Bottom