Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Kumbe na yeye huwa anakufa?

Alikuwa anafufua wafu na kuombea wenye matatizo na wagonjwa,

Awahi Gwajima akamfufue.
Acha kejeli kwenye Mambo ya msingi, angalia mdomo wako usikuumbie kitu kibaya
 
Niliona hii habari kwa Richard Stephen dogo wa ITV alipost twita kama saa kumi hivi alfajiri nikaona kama chai kumbe kweli.

Maagano na mashetani...umri sio mkubwa sana wa kutisha.
 
Kumbe na yeye huwa anakufa?

Alikuwa anafufua wafu na kuombea wenye matatizo na wagonjwa,

Awahi Gwajima akamfufue.
Ha haa aa mfufuaji kafa balaa hii ..Gwajima apande ndege upesi
 
Niliona hii habari kwa Richard Stephen dogo wa ITV alipost twita kama saa kumi hivi alfajiri nikaona kama chai kumbe kweli.

Maagano na mashetani...umri sio mkubwa sana wa kutisha.
"maagano na Shetani" ukimaanisha wewe una maagano na shetani na ulitaka kwenda Nigeria ukaombewe na Joshua sasa unasikitika?
 
R.I.P [emoji24][emoji24][emoji24]jamaa alitoka kuhubiri neno la mungu baada ya hapo akafa....what wonderful death[emoji24][emoji24][emoji24]kifo kizuri sana hicho mwisho wake umekua nzuri sana.......wengine wanafia bar na guest lakini yeye amekufa katika njia ya kuhubiri neno la mungu[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]


R.i.p dady[emoji1317][emoji1317]
 
Mzee wangu hapa kwenye kijiwe cha kahawa anaendelea kunipa 'ufunuo' kuhusu TB Joshua.

ananiambia "Dalili za TB Joshua kuchukuliwa na freemasonry ni hii, amefariki tarehe 6 mwezi wa 6 na amebakiza siku 6 kutimiza miaka 58. Kwa hiyo dalili za jamaa kuwa alikuwa mwanachama wa freemason ni huo mfululizo wa 666 ambayo ni namba ya mpinga Kristo"

Sijamuamini mzee huyu hapa kijiweni ila naendelea kutafakari sana kuhusu haya maneno yake.

Vipi GT wa jf mna la kuchangia?
 
Mkuu mimi ni mmoja wa wanaowapinga sana hao manabii fekero na sina imani nao kwa 100%.
Upo sahihi, Biblia neno la Mungu lipo Wazi:
Lakini kama unawapinga kwa kutofuata neno la Mungu nawe ni mmoja wao.

1 Yohana 4:1​

Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zipimeni hizo roho, kama zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
 
Mzee wangu hapa kwenye kijiwe cha kahawa anaendelea kunipa 'ufunuo' kuhusu TB Joshua.

ananiambia "Dalili za TB Joshua kuchukuliwa na freemasonry ni hii, amefariki tarehe 6 mwezi wa 6 na amebakiza siku 6 kutimiza miaka 58. Kwa hiyo dalili za jamaa kuwa alikuwa mwanachama wa freemason ni huo mfululizo wa 666 ambayo ni namba ya mpinga Kristo"

Sijamuamini mzee huyu hapa kijiweni ila naendelea kutafakari sana kuhusu haya maneno yake.

Vipi GT wa jf mna la kuchangia?
ENDELEA, ONGEZA ALKASUSU NA KASHATA alafu jisomee ujipime.

Zaburi 1:1-2​

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.
 
Back
Top Bottom