Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Servant of God rest well.
You have done the work of God.
The news of his death

Biography

From BBC
Unataka utuchangishe rambirambi, mijizi nyie CCM
 
BBC Wamezingua, media kubwa kama hyo inaandika kwa lugha ya kihuni? Inamaana hamna Editor wala Proofreader.

RIP Man Of God.
 
Kaenda kulipia gharama za aliyemtumikia na kumpa umaarufu. Note: Mtumishi wa kweli wa Mungu hafi ghafla ghafla
Mungu anisamehe tu.michungaji local local isiyo na shule inaniudhi
Elisha aligonvwa na gari akanyakuliwa na kumwachia roho yake eliya?
Mussa aliugua ndo akafa?
Ulitaka agongwe na gari au augue Au afanyeje?
Acha kusikiliza makelele kwenye majukwaa soma biblia yako.

Utaskia ooh kifo cha ghafla sio mipango ya mungu nakatlia mbali roho ya kifo kwenye maisha yako..
Ila walokole mjue tu kuna aina za vifo,hata kwa masihi(anointed)

Angeumwa hapa mngeanza mbona kaombea wengi ye kafa

Mnatakaje?
 
View attachment 1809923

Mhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma ya kichungaji katika Kanisa lake Jijini Lagos

Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel.

Pia soma;
1). Nabii TB Joshua awasili nchini, Afanya Mazungumzo na Kikwete, Lowassa na Magufuli

View attachment 1809833
=====

BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead​

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world.

TB-Joshua-1-e1622936784844.jpeg


Temitope Balogun Joshua, a frontline Nigerian preacher and televangelist, has died, family sources told Peoples Gazette.

Mr Joshua, the founder of The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN), died in Lagos on Saturday evening shortly after concluding a programme at his church, The Gazette learnt from family sources who did not want to be quoted as an official statement was still being prepared. He was 57.

The cause of death was not immediately disclosed to The Gazette, but family sources said his remains had been deposited at the morgue and an autopsy would be performed forthwith.

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world. Emmanuel TV, run by Mr Joshua’s SCOAN, is one of Nigeria’s largest Christian broadcast stations, available worldwide via digital and terrestrial switches.

In 2014, his church was at the centre of a multi-national investigation following a section of his church headquarters in Lagos collapsed, leaving dozens killed and many more injured.

Mr Joshua denied allegations of negligence and a trial over the incident was still underway prior to his demise.

Source: BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead - Peoples Gazette

Jana jioni T. B Joshua alikuwa Live kupitia Emmanuel TV wakati akikutana na Emmanuel TV partner kutoka Nigeria na nchi za jirani. Kabla ya kuanza maombezi kwa VIEWRS na partners walioshiriki pale alifanya mahojiaano na watu kama wawili au watatu ghafla matangazo LIVE yalikatizwa na hakurudi tena hadi asubuhi hii tunapoambiwa amefariki. Ni dhahiri wale Partners waliokuwa pale wameona kila kitu na wanaweza kueleleza kila kitu kilichotokea kama wakipenda.

Ahsante
 
Niko live kwenye emmanuel tv hakuna updates juu ya kifo chochote!!... emu tuacheni kuzusha haya mambo.
nimengalia pia sehemu nyingi kama CNNna Al jazeera sijaona.
Kumbuka hata cha MAgu walikanusha vibaya sana, Afrika tuna aina yetu ya Uchawi.
 
Servant of God rest well.
You have done the work of God.
The news of his death

Biography

From BBC
IMG-20210606-WA0050.jpg
 
Back
Top Bottom