Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hata najua basi.
kuna mdau kauliza eti kwani Mshana anasemaje? nikaona bora nim tag amjibu mdau 😜
Hapana. Mimi huko kwenye kubusu msalaba sipo. Nipo pamoja na wewe mkuu.Mimi siabudu Mtu ,Namwabudu Mungu wa Israel kupitia mwanaye Yesu kristo na Roho mtakatifu anayeugua na kutuombea.
Wewe endelea kuabudu mabeberu(warumi) na umewapa utakatifu
So this happens on the 06Utasikia alikufa tarehe 6 ya mwezi wa 6, watatafuta na 6 nyingine ili Walete stori za Freemason[emoji38][emoji38][emoji38]. Sema daaah huyu mwamba alikusanya wengi sanaaa
Mambo ya kiroho ni mapana mkuu.ukiyaangalia katika hali ya kibindamu hutaelewaKwa fikra zangu hapo alikuwa anamaanisha kuwa wakati wa kurudi nyumbani baada ya huduma ni kurudi nyumbani kwake maana hapo ni kanisani ni eneo lake la kazi. So point hiyo sijaikubali mkuu hebu tafuta ushahidj mwingine kuwa alijitabiria kifo.
Ni kweli mkuu.wenyewe wametangazaKama itakuwa ni kweli basi ni habari ya kusikitisha sana,unless kama official site yake imekuwa hacked...
Nani anahubiri? Akitokea hapo itakuwa bonge ya kiki!Niko live kwenye emmanuel tv hakuna updates juu ya kifo chochote!!... emu tuacheni kuzusha haya mambo.
Mkuu hii kitu inachanganya sana. Nimeingia Instagram account yenye jina lake na account iko verified, wame post kua kafariki😕Niko live kwenye emmanuel tv hakuna updates juu ya kifo chochote!!... emu tuacheni kuzusha haya mambo.
Sasa kumbe tupo pamoja, tunatofautiana tu tafsiri, hongera kwa kujitambua;Hapana. Mimi huko kwenye kubusu msalaba sipo. Nipo pamoja na wewe mkuu. View attachment 1810010
Ha ha dahKwahiyo punje alizokula kuku ndio zimeishia hapo!
Uko sahihi mkuu, lakini hata kama ni kiroho hiyo hoja ni dhaifu sana.Mambo ya kiroho ni mapana mkuu.ukiyaangalia katika hali ya kibindamu hutaelewa
Huenda alichotamka ndo kilichofuatia spiritually
Siyo mimi ninayesema hivyo, bali aliokuwa nao kikaoni jana. Hakumaanisha nyumbani kwake, bali nyumbani mbinguni kwa kila aaminiye na kuokolewa.Kwa fikra zangu hapo alikuwa anamaanisha kuwa wakati wa kurudi nyumbani baada ya huduma ni kurudi nyumbani kwake maana hapo ni kanisani ni eneo lake la kazi. So point hiyo sijaikubali mkuu hebu tafuta ushahidj mwingine kuwa alijitabiria kifo.