Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

Nimegoogle na kupata taarifa hizi


 
Mungu amuhifadhi anapostahili.

Kifo ni ukumbusho wa utukufu wa matendo makuu ya Mungu.

Mwanadamu hapaswi kuishi kwa kukiogopa kifo bali anapaswa kujiandaa na maisha baada ya kifo( kwa wanaoamini)

Tuishi kwa wema ili tutakapo nyakuliwa waliobakia wawe mashahidi wa matendo yetu kwani hakuna ajuaye saa ya yeye kunyakuliwa.

Kila njia ya mtu ni sawa machoni mwake mwenyewe lakini bwana hutazama mioyo.

Mungu atujaalie mwisho mwema.
 
Kila mmoja atakufa, uwe Mchungaji, uwe sheki, uwe Rais, uwe waziri uwe mbunge, uwe kiongozi yeyote kamwe huwezi kukwepa kifo.
kila mmoja lazima atakabiliana na Kifo tu.

Kifo ndio mwisho wa JEURI ya BINAADAMU.
apumzike kwa amani.
 
Mhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma ya kichungaji katika Kanisa lake Jijini Lagos

Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel.

Pia soma;
1).Nabii TB Joshua awasili nchini, Afanya Mazungumzo na Kikwete, Lowassa na Magufuli
View attachment 1809833
=====

BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead​

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world.

TB-Joshua-1-e1622936784844.jpeg


Temitope Balogun Joshua, a frontline Nigerian preacher and televangelist, has died, family sources told Peoples Gazette.
Mr Joshua, the founder of The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN), died in Lagos on Saturday evening shortly after concluding a programme at his church, The Gazette learnt from family sources who did not want to be quoted as an official statement was still being prepared. He was 57.

The cause of death was not immediately disclosed to The Gazette, but family sources said his remains had been deposited at the morgue and an autopsy would be performed forthwith.

Mr Joshua reigned for several decades as a fiery preacher on television, using his platform to attract a large number of Christians from across the world. Emmanuel TV, run by Mr Joshua’s SCOAN, is one of Nigeria’s largest Christian broadcast stations, available worldwide via digital and terrestrial switches.

In 2014, his church was at the centre of a multi-national investigation following a section of his church headquarters in Lagos collapsed, leaving dozens killed and many more injured.

Mr Joshua denied allegations of negligence and a trial over the incident was still underway prior to his demise.

Source: BREAKING: Prophet T.B. Joshua is dead - Peoples Gazette

Rest well Temitope Balogun Joshua

Mwendo umeumaliza🙏
 
Chanzo cha kifo chake tafadhali..
 
Back
Top Bottom