Anakufaje?Kaenda kulipia gharama za aliyemtumikia na kumpa umaarufu. Note: Mtumishi wa kweli wa Mungu hafi ghafla ghafla
[emoji44][emoji44] alimtumikia Nani?Kaenda kulipia gharama za aliyemtumikia na kumpa umaarufu. Note: Mtumishi wa kweli wa Mungu hafi ghafla ghafla
Chanzo cha kifo chake ni kifo.Chanzo cha kifo chake tafadhali..
Kwamba!Ngoja akajionee mwenyewe.
Amkuu mbona unapotosha ,hebu tuambie ni wapi katika maandiko imeandikwa watumishi wa mungu kamwe hawatakufa ghafla,Tena nikuambie vifo vya watu wa mungu huwa havina mlolongo mrefu sijui mtu auguzwe mwezi /mwaka huku akiwatesa wahudumu wake.Big No ,Hawa hutoka kama walikuwepo tu.Kaenda kulipia gharama za aliyemtumikia na kumpa umaarufu. Note: Mtumishi wa kweli wa Mungu hafi ghafla ghafla
Chanzo kipi?