Ten of the Deadliest Martial Arts Styles in the World- Don't try this at Home

Ten of the Deadliest Martial Arts Styles in the World- Don't try this at Home

Muda wake umeisha wathai wengi huanza kama stuntmen kwenye movie za hollywood, kabla ya kuwa ma actor, ila kuna dogo keshachukua nafasi yake sasa.
Ila yale mapigo nayakubari yani unaona kabisa energy hata mtu akirushwa unasema alistahili, siyo yale ya kichina eti mtu asukumwa na upepo wa ngumu. WTF
Ebu nipe jina la uyo dogo mpya na jina la movie alioigiza maana movie ni nying siku hz mpaka kero
Kuhusu swala la kuigiza mapigo hawa akina Don yen cjui IP Man Wanaharibu movie wamekosa ubunifu km aliofanya toni jaa kipind anachipukia alikuwa anatoa doz mpaka mtu unahic upo ndan movie maana ni mkong'oto ulioenda shule
 
Ebu nipe jina la uyo dogo mpya na jina la movie alioigiza maana movie ni nying siku hz mpaka kero
Kuhusu swala la kuigiza mapigo hawa akina Don yen cjui IP Man Wanaharibu movie wamekosa ubunifu km aliofanya toni jaa kipind anachipukia alikuwa anatoa doz mpaka mtu unahic upo ndan movie maana ni mkong'oto ulioenda shule
Mara ya mwisho toni jaa nilimuona kwenye movie akaigiza na wakina the rock, ya kibwege bwege kama fast and furious inakoelekea sijui walikuwa wanatafuta kifaa cha kucontrol satelite.
Movie za mwanzo zilikuwa tamu sana. Mimi hong bak 2 naipenda sana mpaka leo kwanza mimi napenda movie ambayo actor hacheki mwanzo mwisho, na kwenye hong bak jamaa alikuwa serious hacheki.
 
Jamaa mwingine anaekuja vizuri ni Iko iwais kwenye movie zake kama merantau warrior, the raid 1 $ 2, the night come to us, mile22, headshot na kuna moja yupo na yayan rihian ina mapigano mazuri saana
Mara ya mwisho toni jaa nilimuona kwenye movie akaigiza na wakina the rock, ya kibwege bwege kama fast and furious inakoelekea sijui walikuwa wanatafuta kifaa cha kucontrol satelite.
Movie za mwanzo zilikuwa tamu sana. Mimi hong bak 2 naipenda sana mpaka leo kwanza mimi napenda movie ambayo actor hacheki mwanzo mwisho, na kwenye hong bak jamaa alikuwa serious hacheki.
 
Jamaa mwingine anaekuja vizuri ni Iko iwais kwenye movie zake kama merantau warrior, the raid 1 $ 2, the night come to us, mile22, headshot na kuna moja yupo na yayan rihian ina mapigano mazuri saana
Ngoja niziafute, nisizicheki maana nishachoshwa na movie zenye mapigo ya uongo uongo mwingi
 
Aliyeiandika hiyo article naye hajui alichokiwasilisha. Itakuwa anaangalia sana movie. Karate namba 1 mbele ya Kung fu wakati mizizi ya karate imetokea kwenye Kung fu!

Halafu kung fu ni mjumuisho wa style nyingi mno ikiwemo Wing Chun ya master Yip Man ambayo wengi wao wanaizungumzia humu.

Taekwondo ni wazee wa mateke tu hawana lolote. Ninjutsu hawajui ngumi sana wanajua kutumia silaha kwa sana tu.

Ila ukitaka uwe mzuri uchanganye hii michezo.
Hammaz
Kumbe uko viZuri namna hi?
Karate -goju Ryu-Japan
-shotokan

Kung fu- sholin-China
-wushu
Systema-Russia

Sambo-Russia

Krav Maga - Israel

Samurai-japan Hawa wanatumia sime
Hawa inadhaniwa ndio kiboko ya Ninjas.
Kisiwa Cha Okinawa ndiko inafanyika karate ya nguvu sana kwa Japan.
Nadhani Unajuakuwa Kuna Sport na Combat martial Arts.
Huyo jamaa anedai kupiga wanajeshi nadhani alipiga wanajeshi wa kawaida.
Angekutana na Commando pengine leo angekua mlemavu au Marehemu.
Kwa sababu commando wanafanya combat ,na wanajeshi wengine



Hawana mafunzo ya martial arts.
Ila wapo baadhi kwa juhudi binafsi wanajifunza.
Kwa hiyo jamaa asijichanganye kwa commandos.
 
Hammaz
Kumbe uko viZuri namna hi?
Karate -goju Ryu-Japan
-shotokan

Kung fu- sholin-China
-wushu
Systema-Russia

Sambo-Russia

Krav Maga - Israel

Samurai-japan Hawa wanatumia sime
Hawa inadhaniwa ndio kiboko ya Ninjas.
Kisiwa Cha Okinawa ndiko inafanyika karate ya nguvu sana kwa Japan.
Nadhani Unajuakuwa Kuna Sport na Combat martial Arts.
Huyo jamaa anedai kupiga wanajeshi nadhani alipiga wanajeshi wa kawaida.
Angekutana na Commando pengine leo angekua mlemavu au Marehemu.
Kwa sababu commando wanafanya combat ,na wanajeshi wengine



Hawana mafunzo ya martial arts.
Ila wapo baadhi kwa juhudi binafsi wanajifunza.
Kwa hiyo jamaa asijichanganye kwa commandos.
Jamaa kakutana na wale vijana tuu weupe
 
Mimi napenda yale mapigo ya hong bak 2 sijui ni taekwondo au thai martial arts au nini ile, jamaa anapiga mapigo unaona energy ndani ya kila pigo.
Yale ningekuwa ninayaweza ningeenda pale lugalo nikojoe kwenye ile bustani wazee wa mabaka waje kunidunda nitandike kambi nzima.
Wazo lako kama langu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi napenda yale mapigo ya hong bak 2 sijui ni taekwondo au thai martial arts au nini ile, jamaa anapiga mapigo unaona energy ndani ya kila pigo.
Yale ningekuwa ninayaweza ningeenda pale lugalo nikojoe kwenye ile bustani wazee wa mabaka waje kunidunda nitandike kambi nzima.
Teh teh teh 😂😂..umetisha
 
Back
Top Bottom