Tena msifuate maji nikirudi nitakuja na mvua!! Mama zetu wa kiafrika

Tena msifuate maji nikirudi nitakuja na mvua!! Mama zetu wa kiafrika

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Mama zetu wa kipindi cha nyuma walikuwa hawaachi maagizo Moja kwa moja.Lazima aseme kwa mafumbo

Mfano akitaka kutoka anataka kuwaambia mfanye kazi fulani utasikia.

Msiende kusanga hayo mahindi nitakuja na wali.

Naenda kusuka Msiwape ng'ombe maji nitakuja na soda.

Na mtembee mtaa wote wajue nilizaa watalii.

Pandeni kwenye miti kabisa wajue nilizaa nyani.

Kuleni chakula chote hadi na cha baba yenu akija atanila.

Msifate kuni nikija nitapikia vidole.

Lizeni kabisa hiyo radio iishe beteri baba yenu ataweka magunzi

Niwakute hamjaoga ili wageni wakija wajue mnalelewa na mama wa kambo!!

Na mengine mengi hivi kwanini walikuwa hawasemi moja kwa moja hadi waseme kwa mafumbo?
FB_IMG_1739969993328.jpg
 
Mama zetu wa kipindi cha nyuma walikuwa hawaachi maagizo Moja kwa moja.Lazima aseme kwa mafumbo

Mfano akitaka kutoka anataka kuwaambia mfanye kazi fulani utasikia.

Msiende kusanga hayo mahindi nitakuja na wali.

Naenda kusuka Msiwape ng'ombe maji nitakuja na soda.

Na mtembee mtaa wote wajue nilizaa watalii.

Pandeni kwenye miti kabisa wajue nilizaa nyani.

Kuleni chakula chote hadi na cha baba yenu akija atanila.

Msifate kuni nikija nitapikia vidole.

Lizeni kabisa hiyo radio iishe beteri baba yenu ataweka magunzi

Niwakute hamjaoga ili wageni wakija wajue mnalelewa na mama wa kambo!!

Na mengine mengi hivi kwanini walikuwa hawasemi moja kwa moja hadi waseme kwa mafumbo?View attachment 3241869
Hehehe
 
Huo ni unyani hamna Cha life style hao ndio walichelewesha maendeleo Kwa mtu mweusi
SAWA UMETOKA LINI CONGO KUPELEKA MOTO?

 
Back
Top Bottom