Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #21
Ukilia anasema liaa kabisa hadi wajue wewe ni mtoto wa raisNimetema mate ole wako yakauke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukilia anasema liaa kabisa hadi wajue wewe ni mtoto wa raisNimetema mate ole wako yakauke
Tangia Juzi nipo tanzaniaSAWA UMETOKA LINI CONGO KUPELEKA MOTO?
Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne
ooh! Sawa mkuu. Lakini kuna uzi flani hivi, unahusu kwa nini waganga wa kienyeji huzikwa wakiwa wamekaa,ulieleza vema sana,ukapost na nyimbo mbili za mamanju wa ntuzu nikazipenda, mpaka leo huwa nahtaj sana nyimbo za namna ile lakn nishagonga mwamba,ndo mana nahtaj namba yako angalau,unipatie...www.jamiiforums.com
Ni kweli Kaka sisi wengine wazazi walikutana China kwenye mafunzo ya komfuu hivyo walikuwa hawakuelekezi kitu Ila wanasubiri ukosee waanze kukutembezea kipigo Cha kichinaSahihi ila ni% kubwa sana iwe kjijijni au mjini!!
Mama alikuwa hana muda wa kutafuta fimbo atakachokuwa nacho ndo utapigwa nacho liwe sufuria au mwikoNi kweli Kaka sisi wengine wazazi walikutana China kwenye mafunzo ya komfuu hivyo walikuwa hawakuelekezi kitu Ila wanasubiri ukosee waanze kukutembezea kipigo Cha kichina
sanaMtoto wa sasa hiv umwambie usinde kusaga nakuja na wali ,anausikilizia kwel huo ubweche
😂Hahahaa hii kweli kabisa utasikia na bado nenda na kabatini ukamalizie kabisa
hahaaaaaUlikuwa ukizidisha chumvi kwenye mboga utasikia “Naona leo lori la chumvi limepata ajali”
😁😁😁😁
Ukigonganisha vyombo vikasikika utamsikia “Vunjeni tu, baba yenu si anafanya kazi SIDO”
Anaweza kukutuma ukaazime chumvi kwa jirani halafu anasimama kukungalia mara ghafla unasikia tembea kama bibi harusi kabisa uchelewe huku tutaweka mchanga.😂
Ujichanganye upandishe miguu juu ya kochi " chafua kabisa mama yako si nna mashine ya kufulia na kiwanda cha sabuni"
Hii kama sio africa poter basi sijui maana nimekuwa nikiktuna na memes za pande tofauti tofauti kwenye bara letu hiliDuh hawa wamama ni wa nchi gani? Mbona sisi tulikuwa tunaagwa.
"Chalii what do you want for a gift my dear son?"
Ukiharibu kitu unaambiwa "Chalii please don't, that's bad manners"
Hizo kauli zimetukuza sana mkuu.Anaweza kukutuma ukaazime chumvi kwa jirani halafu anasimama kukungalia mara ghafla unasikia tembea kama bibi harusi kabisa uchelewe huku tutaweka mchanga.
SanaHizo kauli zimetukuza sana mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto wa sasa hiv umwambie usinde kusaga nakuja na wali ,anausikilizia kwel huo ubweche
Wakishua utawajua tyuuh.Duh hawa wamama ni wa nchi gani? Mbona sisi tulikuwa tunaagwa.
"Chalii what do you want for a gift my dear son?"
Ukiharibu kitu unaambiwa "Chalii please don't, that's bad manners"
Tulia weweWakishua utawajua tyuuh.
ChaiSAWA UMETOKA LINI CONGO KUPELEKA MOTO?
Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne
ooh! Sawa mkuu. Lakini kuna uzi flani hivi, unahusu kwa nini waganga wa kienyeji huzikwa wakiwa wamekaa,ulieleza vema sana,ukapost na nyimbo mbili za mamanju wa ntuzu nikazipenda, mpaka leo huwa nahtaj sana nyimbo za namna ile lakn nishagonga mwamba,ndo mana nahtaj namba yako angalau,unipatie...www.jamiiforums.com
Wee em sema kwelii?Tulia wewe