Tenda ya Bandari Bagamoyo itangazwe upya kwa uwazi

Tenda ya Bandari Bagamoyo itangazwe upya kwa uwazi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.

Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.

Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda

Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii


Zitto , Pascal Mayalla
 
Ni muhimu sana hizo details za huo mkataba kuwekwa hadharani k look akili hii Serikali ya mafisadi sidhani kama itafanya hivyo. Bunge ni hohehahe Watanzania wengi hatuna imani nalo.
Hasa bunge la Ndugai takataka kabisa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.

Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.

Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda

Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii


Zitto , Pascal Mayalla
Mi nafikiri ata hapo mwanzo hawkautangaza tenda isipokuwa ao walivutwa tu kutokana na mpangowao wa BRN otherwise angeshindana nani aweke matrion ya pesa hayo?
 
Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.

Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.

Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda

Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii


Zitto , Pascal Mayalla
Kutafuta mwekezaji sio kitu rahisi kama watu wengi wanavyofikiri sio kitu cha kutangaza na watu wakatender kama kazi za barabara ni tofauti kabisa. Tuiachie Serikali wafanyekazi zake na sisi wananchi tusubiri matokeo kweni ni serikali yetu itahojiwa na Bunge letu tukufu.
 
aisee unatangaza tender wakati serikal yako haitoi hata mia, cha msingi tuwe na mikataba ya win win situation, watu wanaweka billions of dollars wanata return na profit
 

Hata kama wachina wana/wamepewa, Ni muhimu mkataba uwe wazi ili watu wajue mbivu na mbichi.
 
Kutafuta mwekezaji sio kitu rahisi kama watu wengi wanavyofikiri sio kitu cha kutangaza na watu wakatender kama kazi za barabara ni tofauti kabisa. Tuiachie Serikali wafanyekazi zake na sisi wananchi tusubiri matokeo kweni ni serikali yetu itahojiwa na Bunge letu tukufu.
Nashangaa sana mtu anaandika kwa kukariri tu eti tender, hivi watu wanaelewa tofauti ya mwekezaji na mradi wa serikali. Huyu ni mwekezaji na wawekezaji wanatafutwa na mwekezaji anawekeza pesa zake ili arudishe katika biashara atakayofanya sasa unaongelea tender ili serikali ilipie mradi au? unadhani ni wale wa kuleta completion cerficate walipwe pesa? Elimu inatakiwa sana ni sawa na Dangote alivyokuja kuwekeza kiwanda cha cement kusema tender iwekwe wazi wanakuja wawekezaji LNG utasema unataka tender, Huyu ni investor anafanya business na kuna watu wanasema mkataba uwekwe wazi huwezi kuweka wazi sababu huu mkataba unalindwa kisheria na pande mbili ila upande wa serikali inabidi waujadili kuona una faida kwa serikali na nchi kwa ujumla. Tender pelekeni huko barabarani hii investment serikali haitoi hata cent moja.
 
Kwa taarifa rasmi huu mradi ndio chanzo cha kumpoteza msemakweli mpenzi wa Mungu
 
View attachment 1835833
Hata kama wachina wana/wamepewa, Ni muhimu uwe wazi ili watu wajue mbivu na mbichi.
Kama kwa mjibu wa 'clip' hii ndio 'contents' ya masharti ya uwekezaji wa Bagamoyo bila kuyabadilisha yaendane na mahitaji ya haki za nchi kama mmiliki wa ardhi ni wazi anayeupigia debe ama kwa kujua au ushabiki tu ni adui kuzidi /green mamba' na anastahili kusulubiwa
 
Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.

Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.

Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda

Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii


Zitto , Pascal Mayalla
ndugai hafanyii kazi habari za mitandaoni
 
Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.

Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.

Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda

Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii


Zitto , Pascal Mayalla
Hujui kitu ndugu soma sana uelewe mradi ulivyo
 
Nashangaa sana mtu anaandika kwa kukariri tu eti tender, hivi watu wanaelewa tofauti ya mwekezaji na mradi wa serikali. Huyu ni mwekezaji na wawekezaji wanatafutwa na mwekezaji anawekeza pesa zake ili arudishe katika biashara atakayofanya sasa unaongelea tender ili serikali ilipie mradi au? unadhani ni wale wa kuleta completion cerficate walipwe pesa? Elimu inatakiwa sana ni sawa na Dangote alivyokuja kuwekeza kiwanda cha cement kusema tender iwekwe wazi wanakuja wawekezaji LNG utasema unataka tender, Huyu ni investor anafanya business na kuna watu wanasema mkataba uwekwe wazi huwezi kuweka wazi sababu huu mkataba unalindwa kisheria na pande mbili ila upande wa serikali inabidi waujadili kuona una faida kwa serikali na nchi kwa ujumla. Tender pelekeni huko barabarani hii investment serikali haitoi hata cent moja.


Wewe ndiyo hujui ni ujinga kubinafsisha bandari ya nchi!! Bandari sio kiwanda cha cement. Vile viwanda walivyopanga kujenga unaweza kujenga kama mwekezaji lakini Bandari yenyewe ni mkopo sio uwekezaji. Tulifanya kama uwekezaji bandari yenyewe na kujitoa kama nchi hapo tutakuwa tumekwisha tujiulize mapato ya bandari ya Dar kwa sasa tutawapa China?

Bandari itakuwa ya Nani? Tanzania au China na Oman? Yaani tuligenga bomba la gas kwa mkopo halafu tuwape taifa jingine bandari!? huu ni ujinga wa hali ya juu sana
 
Kama kwa mjibu wa 'clip' hii ndio 'contents' ya masharti ya uwekezaji wa Bagamoyo bila kuyabadilisha yaendane na mahitaji ya haki za nchi kama mmiliki wa ardhi ni wazi anayeupigia debe ama kwa kujua au ushabiki tu ni adui kuzidi /green mamba' na anastahili kusulubiwa
Huyo anayetoa hiyo taarifa ni mhandisi Kakoko...aliondolewa kwenye nafasi yake na kufunguliwa mashitaka.

Yule bwana wa madaraja alikufa jana!
 
Huyo anayetoa hiyo taarifa ni mhandisi Kakoko...aliondolewa kwenye nafasi yake na kufunguliwa mashitaka.

Yule bwana wa madaraja alikufa jana!
Kwa hiyo kuna 'elimination project' inaendelea kwa kivuli cha 'vampire' kupitia tuhuma za ubadhirifu na 'cardiovascular arrest' k unyamazisha sauti ya kisulisuli? Kuna shida kubwa itatokea sio bure.....
 
Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.

Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.

Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda

Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii


Zitto , Pascal Mayalla
Mkuu, unayangaza tender kama mradi ni wa kwako. Mradi huu unfortunately ni wa Wachina na Waarabu. Investors ndiyo watakaotangaza hiyo tender kwa ajili ya Ujenzi.
 
Mkuu, unayangaza tender kama mradi ni wa kwako. Mradi huu unfortunately ni wa Wachina na Waarabu. Investors ndiyo watakaotangaza hiyo tender kwa ajili ya Ujenzi.

Watanzania wengi hawajui wanachooongea! Hii bandari ni mkopo na ndiyo maana tuliambiwa nchi nyingine Wachina wamechukuwa bandari kwasababu nchi imeshidwa kulipa madeni sasa kama lilikuwa sio deni hili tishio linatoka wapi? Hata Kenya bandari ni ya Wakenya sema mkopo na wajenzi ni wa China. Nchi nyingi zikitoa mkopo zinataka mjenzi wao kama ilivyo kwenye kipande cha reli ya kisasa ambacho China wanatoa mikopo watajenga wenyewe na sio Uturuki kama Morogoro mpaka Dodoma.
Kwenye huu mradi kuna sehemu ya viwanda hivi vingeweza vikawa binafsi lakini bandari yenyewe itakuwa maajabu kama haitakuwa ya Watanzania na ndiyo maana gharama ni muhimu sana kuhakiki kwasababu ni mkopo. Kama ni mkopo na design ya bandari wamiliki ni Tanzania kuna ugumu gani kutafuta pesa kwa njia tofauti badala ya kuongea na kampuni moja kwa miaka 20! Uwezo wa kulipa $10B Tanzania tunao kama bandari itatumika vizuri hatuna haja wala haraka ya kuingia mikataba mibaya. Pamoja na riba haitazidi $500 kwa mwaka kwa miaka 25
 
Back
Top Bottom