Hatutaweza kupata mkataba mzuri kama mwekezaji anajua yuko peke yake! Tunachotaka tunajua na mradi utangazwe kama tenda ili wadau wengine na mashirika mengine nayo yaweze kuleta tenda zao. Kuna watu serikalini na wanasiasa wameshawekwa mfukoni na China kwa kupewa visafari na visemina vya kijinga bila kujua hiyo ni mipango ya kutufanya tukubali mkataba mbaya.
Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.
Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda
Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii
www.reuters.com
Zitto , Pascal Mayalla
Hivyo mimi nashauri tutangaze upya tenda badala ya kuongea na wawekezaji kama vile tunabembeleza. Muda ushapita sana na kuna wawekezaji wengine wengi sana na nchi yetu imeingia uchumi wa kati hivyo ni wakati tofauti na ule wa kikwete.
Lakini kitu kingine kimoja mkataba na pesa ya ujenzi isiendane na uendeshaji wa bandari. Tukisema uendeshaji sijui awe mchina kwasababu ametupa pesa hatutaweza kumtoa hata kama uendeshaji sio mzuri. Hivyo uendeshaji wa bandari usiwe wa wawekezaji! Yaani mkataba ulivyo kwa sasa hatuwapi sababu ya kuongea na sisi kama wanajua hatuna sehemu ya kwenda
Mfano nchi za G7 zinaanzisha hii
G7 rivals China with grand infrastructure plan
The Group of Seven richest democracies sought on Saturday to counter China's growing influence by offering developing nations an infrastructure plan that could rival President Xi Jinping's multi-trillion-dollar Belt and Road initiative.
Zitto , Pascal Mayalla