Mkuu kwa kukusahihisha tu, huu siyo mkopo. Ni kwamba hawa watu wana invest. Ni sawa sawa na Dangote. Tofauti ni kwamba the type of the project is different na yule anayewekeza kwenye kiwanda ndiyo maana kuna a lot of issues around. Kwa maana hiyo watu kulinganisha huu mradi na ule wa Sri Lanka ni kosa kubwa. Haifanani hata kidogo.
Anachosema mleta mada ni sawa na kusema tenda ya kujenga Dangote itangazwe na serikali ya Tanzania, which is totally wrong.
Mradi huu una tofauti gani na Kenya?. Kiwanda cha Dangote ni chake kisheria kesho anaweza kuamua kukivunja au kuondoka! Bandari sio hivyo hili ni deni la serikali !. Na kama sio hivi basi Mradi ni mbaya sana na hautakiwi kuendelea maana kuna sababu gani ya msingi ya kuwapa wawekezaji mizigo yetu yote ya bandari zetu za Dar na Tanga na kupoteza mapato kama mapato yanaenda kwa China? hii ni biashara gani?.
Kwa mawazo yangu huu mradi unakuzwa kwa munufaa binafsi ya wanasiasa mfano sababu ya kwamba meli kubwa haziwezi kufika pale kwanini kusifunguliwe kampuni moja kama ilivyo Twiga na kuwa na bandari zote mbili ili waweze kugawa mizogo ambayo haiwezi kwenda Dar kwasababu ya ukubwa wa meli ndiyo zije bagamoyo. Hii itapunguza gharama za ujenzi wa bandari kwasababu wanajenga kama vile hakuna bandari hapo Dar na ni kubwa tu inampaka reli na mpaka sasa wanapanua bandari ya Dar. Cost itapungua na zile industrial park watakazo jenga zitajilipa zenyewe maana watakuwa wanakodisha kwa kampuni binafsi magodauni na sehemu za magari. Hii project ingeweza kuwa ya $5B tu na sio $10B ukizingatia kuna bandari ya Dar lakini kuna watu wengi wanapenda pesa iwe nyingi kama vile ni ya bure! mnafikiri Magu angeacha pesa ya bure!
Halafu Watanzania wengine hawafuatilii hata sera za China wameshasema wanategemea kufanya bandari iwe kama base yao ya kijeshi pamoja na ya msumbiji na hii imetolewa na chama chao cha kijamaa! na ndiyo maana wanataka pawe kama balozini ili kisheria tusiweze kuwazuia wanajua sisi tunaongeka hivyo miaka 30 ijayo watakuwa wameshabadilisha mikataba na kuongeza muda kuwa miaka 99 na ndiyo maana walikuwa wameshaweka bunge letu mfukoni!. Hizi tunajifunza nini kwenye bunge la kikomunisti wakati ni chama kimoja cha kidikteta! Jamani tuweni wepesi tuacheni ushabiki kama ule ulio wauwa wapendwa wetu kwa ushabiki wa kitoto wa Corona
Lakini kibaya wana mtindo wa kuongeza gharama za ujenzi ili uwe tegemezi milele
When we look at Africa, we see many countries chasing dreams of a better economic future while burying themselves in massive amounts of infrastructure-induced debt that they may not be able to actually afford. There have already been warning signs: the $4 Addis Ababa-Djibouti Railway ended up costing Ethiopia nearly a quarter of it’s total 2016 budget, Nigeria had to renegotiate a deal with their Chinese contractor due to their failure to pay, and Kenya’s 80% Chinese-financed railway from Mombasa to Nairobi has already gone four times over budget, costing the country upwards of
6% of it’s GDP. In 2012, the IMF found that
China owned 15% of Africa’s external debt, and hardly three years later roughly two-thirds of all new loans were coming from China. This has some analysts issuing warnings about debt traps – with some even going as far as calling what China is doing a new form colonialism.
What does China get out of this?
Chinese and Ivorians technicians work on the construction site of a new container terminal at the ... [+]
AFP/GETTY IMAGES
China needs what Africa has for long-term economic and political stability. Over a third of China's oil comes from Africa, as does 20% of the country’s cotton. Africa has roughly half of the world’s stock of manganese, an essential ingredient for steel production, and the Democratic Republic of the Congo on its own possesses half of the planet’s cobalt. Africa also has significant amounts of coltan, which is needed for electronics, as well as
half of the world’s known supply of carbonatites, a rock formation that’s the primary source of rare earths.
However, there is a common misconception that all Chinese projects in Africa have the backing of Beijing. More often than not, Chinese SOEs are operating in Africa on purely for-profit ventures that don’t have the ambitions of their government in mind. However, it can be difficult to separate China’s commercial intentions in Africa from the strategic, as, in many cases, the two inevitably overlap. The internationalization of Chinese construction firms and IT companies as well as the building of infrastructure to better extract and export African resources, are key concerns for Beijing. So while the infrastructure being built on the ground may not necessarily be orchestrated by Beijing it does ultimately play into China’s broader geo-economic interests.
Follow me on
Twitter or
LinkedIn. Check out my
website or some of my other work
here.
