Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Na we we ni walewale tu,mtozeni
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica

Haina neno; mwacheni jiwe aendelee kutafuta miguu ya nyoka. Keshaambiwa nyoka hana miguu, watu wengi tu (na ushahidi wa maandiko upo) walishatafiti na kujiridhisha kuwa nyoka hawana miguu ila yeye bado anaamini nyoka wana miguu.

Mnaomuimbia mapambio mnaujua ukweli kuwa nyoka huwa hawana miguu ila for some reason mnamsisitizia kuwa akiendelea na jitihada anazozifanya ataudhihirishia ulimwengu kuwa kile kilichokuwa kimedhihirishwa kwa ushahidi usio na shaka kuwa nyoka hawana miguu actually wana miguu.

Maybe kuna siku mtapewa neema ya kupata ujasiri wa kuukubali na kuukiri ukweli hadharani.
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Leo mh waziri wa uchukuzi kaitamani kazi ya kusafirisha mizigo na vifushi kwa njia ya mabasi
 
Tunarudi zama za mwalimu ujamaa na kujitegemea itafika mahali. Kwa utawala huu tutanunua sukari kwenye vyama vya ushirika viatu maduka Yale maarufu Bora shoe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hakuna uchaguzi ili kuitoa hii serekali? Kabla hali haijawa mbaya?? Nini maana ya ushindanishi wa Sera za vyama??

Nadhani 2020 kije chama kingine au mgombea mwingine na Sera mbadala kuirudisha nchi kwenye right track
 
na hio serikali iajiri right combination of skilled people,sio wanaokagua ni mangubaru kama Becky hapa,na pia idhibiti rushwa
 
Serikali haiwezi biashara kama kawaida utaratibu huo utashindwa vibaya baada ya muda mfupi kwakuwa wote tunafahamu watendaji wa serikali walivyo na urasimu kwenye maamuzi. Nakumbuka hata manunuzi ya taasisi kubwa za umma ukitaka kufanikisha haraka sekta binafsi ndo jibu lakini kwakuwa kila kitu tumeamuwa kuwa tunajaribisha tushindwe kwanza ndipo kusikiliza ushauri sawa wakati utaongea.
 
Mbona ni tetesi tu?

Nimewahi kusikia Radio moja ya Moro, Wakitangaza Company moja ktk Wilaya moja kuwa ni Wakala wa Manunuzi eneo husika.
Wananchi wote wanapaswa kununua everything kama stationaries, hardware things etc etc ni pale tuu.. that is it.

Hii kitu Kipo, I think kilikuwa ktk study...
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
First they came for the socialists, and I did not speak out because I was not a socialist.

Then they came for the trade unionists, and I did not speak out because I was not a trade unionist.

Then they came for the Jews, and I did not speak out because I was not a Jew.

Then they came for me and there was no one left to speak for me.
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
vichaa at work. Tenda zote kwa wanaccm.
 
Huyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
Sekta binafsi ilikuwa na makanjanja na wapiga dili wengiii. Bora king jiwe awashikije adabu..mpaka wanyooke. Nafurahi sanaaaa. Jiwe atawale mpka siku mungu atakapomchukua. Washike adabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soon kutakuja kauli kuwa huruhusiwi kumlala mkeo mpaka upate kibali maalum toka kwa wakala wa kujamiiana na kurutubisha vizazi. #Vivajiwe#
 
Back
Top Bottom