Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

Kaaazi kwei kwei!!! Nakumbuka kipindi cha nyuma taasisi zote za Serikali walikuwa wananunu mahitaji yao yote ya kiofisi kupitia wakala wa Ununuzi yaani GPSA tatizo lilojitokeza ni ucheleweshaji wa malipo toka taasisi kwenda GPSA pamoja na changamoto nyingi huo mpango ukaanza kukwamia hapo wakarudi kwetu sasa wanataka kutoka tena.?
labda wameifanyia upembuzi yakinifu
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Hawa viongozi inatakiwa wasome elimu ya ujasliamali ''Entrepreneurship'' kuna topic inaitwa ''an Entrepreneur and his Environments'' inawahusu sana
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
U communist [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Natamani huyu mtu apate mshauri na amuelewe [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
Yaani ni ukichaa kuipiga vita sekta binafsi,
Wakati ni sekta inayotoa ajira nyingi,kodi nyingi,
Ebu linganisha ubora wa Vodacom,au Tigo na TTCL,
Kampuni kama Vodacom,mnara wake mmoja,kuna kampuni inatenda ya ulinzi,kuna kampuni ina tenda ya mitambo na umeme,kuna kampuni inatenda ya kuhudumia vifaa vya mawasiliano,ukiiua voda,nchi nzima inasimama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom