Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
aiseee !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseee !!!
ni kazi yangu kama mwana CCM kuishauri serikali bila matusi kama wafanyavyo chadema
kwahiyo ni zaidi ya hapo mkuu?Bado kuna watu wana amini kwamba jamaa ataondoka 2025?
Tunakoelekea hii serikali itaanza hata kuuza Ice cream yenyewe na kupiga marufuku wananchi wengine kuziuza
labda wameifanyia upembuzi yakinifuKaaazi kwei kwei!!! Nakumbuka kipindi cha nyuma taasisi zote za Serikali walikuwa wananunu mahitaji yao yote ya kiofisi kupitia wakala wa Ununuzi yaani GPSA tatizo lilojitokeza ni ucheleweshaji wa malipo toka taasisi kwenda GPSA pamoja na changamoto nyingi huo mpango ukaanza kukwamia hapo wakarudi kwetu sasa wanataka kutoka tena.?
Hawa viongozi inatakiwa wasome elimu ya ujasliamali ''Entrepreneurship'' kuna topic inaitwa ''an Entrepreneur and his Environments'' inawahusu sanaKila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
TwafwaKwa Mwendo Huu lazima tufikie Uchumi wa Kati.
-KLOZING BYURO DI CHENJI.
-NO TRANSPOTATION OF PARCEL VIA BUS
-GAVAMENT INTAVESHENI ON ALL TENDAZ.
Wengine wanataman kabisa katiba ingekuwa inaruhusu akae zaidi ya ten years, wakati 3 years tu watu tumechoka hoiBado kuna watu wana amini kwamba jamaa ataondoka 2025?
Wakati ukuta japo kuna baadhi wanafaidi keki ya TaifaWengine wanataman kabisa katiba ingekuwa unaruhusu akae zaidi ya ten years, wakati 3 years tu watu tumechoka hoi
Useless!
Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu ya 5 Chini ya Muheshimiwa John Pombe Magufuli Joseph anatupeleka kwenye Tanzania ya viWONDER na UCHUMi wa Pale KATI Patamu.Kodi ya kujamba umesahau. Inasemekana kila mtu anapojamba anakua ameingiza pesa nyingi sana tumboni hivyo inatakiwa ailipie kodi
Mama NAKUFA,KONKI FAYAAAA,EVERYBODY SAY YEEEHHHH ISOKEEEE ISOKEEEE NDANI ya DALAS,TEXAS.
U communist [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji1787]Kila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Na pale kwenye tigo pesa patamuAwamu ya 5 Chini ya Muheshimiwa John Pombe Magufuli Joseph anatupeleka kwenye Tanzania ya viWONDER na UCHUMi wa Pale KATI Patamu.
Wanaofaidi wanaweza wasifikie hata robo ya population ya tz mkuuWakati ukuta japo kuna baadhi wanafaidi keki ya Taifa
HahahahahahahMama NAKUFA,KONKI FAYAAAA,EVERYBODY SAY YEEEHHHH ISOKEEEE ISOKEEEE NDANI ya DALAS,TEXAS.
Yaani ni ukichaa kuipiga vita sekta binafsi,Huyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
kwa hiyo hatutaona tena vile vibaiskeli vya azamTunakoelekea hii serikali itaanza hata kuuza Ice cream yenyewe na kupiga marufuku wananchi wengine kuziuza