Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkuu hii Nanaa ndio nn sijakuelewa!! ama umemaanisha nanasi!!
asaubuhi umemaanisha asubuhi ama!!! nijuze tafadhali!!
Mkuu Pelham 1 na bibie Kaunga mbona mumekuwa ni wazito kuelewa jamani? Mint ni lugha ya kiingereza kiswahili ni Nanaa. angalieni majani ya hayo Mint leaves Majani ya (Nanaa) hapo chini. Asubuhi ni asubuhi pale unapo amka kutoka usingizini ndio asubuhi.Mint ipi, au hata yale majani (weeds) wazee walizokuwa wanachoma kufukuza mbu? Maana hayo yapo mengi mitaani, lkn mint hizo za kutengeneza dawa na pipi mbona zalimwa nyanda za juu tu. Labda tununue kavu.
Haika mbee! Lemme try ila hilo jani sijui nitalipataje kijijini kwetu hapa
Hayo Majani kwa Wale ambao wamekulia Sehemu za Mashambani Mfano Moshi Wanaita(Majani ya harufu) Mara nyingi huwekwa kwenye Chai.
hivi hayo majani sio yale wachaga wanatafuna wanapoumwa na matumbo?Haika mbee! Lemme try ila hilo jani sijui nitalipataje kijijini kwetu hapa
Hili somo ni zuri sana maana hiki kitambi changu nadhani kimejaza sumu tupu. Please jinsi ya kuipata hio Nanaa kwa hapa Dar saidia mimi tafadhali Bwana MziziMkavu
zumbemkuu na MANI njooni hapa mpate kikombe cha sumu
Mpwa hili nanaa sio lile jani linaharufu kali hivi.
Mpwa hili nanaa sio lile jani linaharufu kali hivi.
majani ya mint yanapatikama kwa wingi sokoni kariakoo. soko.dogo kwa wauza mboga na matunda
Mint au nanaa zinapatikana sokoni kariakoo kule wanapouza mbogamboga
Pata Malimao 2 weka ndani ya glasi ya maji baada ya kuyakata, Tango nusu kata weka ndani ya glasi ya maji, na majani ya Nanaa 10 au 10 weka katika glasi maji acha usiku kucha asaubuhi kabla ya kula kitu kunywa hayo maji utaondosha sumu iliyo mwilini mwako. Tumia kisha uje unipe feedback.