Mkuu hii Nanaa ndio nn sijakuelewa!! ama umemaanisha nanasi!!
asaubuhi umemaanisha asubuhi ama!!! nijuze tafadhali!!
Nanaa kwa Dar unaweza kuipata soko la Kariakoo, soko mjinga la Mkunguni na Bibi titi au soko la mabaniani, Zanaki Street opposite na Zanzibar Hotel. Ukiwaaambia nanaa tu wanakupatia.
Nanaa kwa Dar unaweza kuipata soko la Kariakoo, soko mjinga la Mkunguni na Bibi titi au soko la mabaniani, Zanaki Street opposite na Zanzibar Hotel. Ukiwaaambia nanaa tu wanakupatia.
Utakunywa kila glasi moja kama ilivyo hapo kwenye picha Kuna chungwa,Tango,Nanaa na limau zote zipo glasi 4 utakunywa hiyo dawa kwa muda wa siku 3 utafanya hivyo hivyo kila siku dawa mpya.Mkuu MziziMkavu,kwanza nakupongeza sana kwa utayari wako kila mara wa kushare mambo mengi sana mazuri na yenye manufaa kwa watu wote wanaopenda kujifunza.Big up brother.naomba nifafanulie, baada ya kuwa nimekwisha loweka usiku kucha hayo malimao,matango na nanaa kila moja kwenye glasi yake, asubuhi wakati wa kunywa, nitakunywa kila kimoja kama kilivyo kwenye glasi yake au nachanganya maji ya vyote vitatu kwenye chombo kimoja? Na kamani kila moja kama ilivo kwenye glasi yake, kwa interval gani?
Nasikia wewe ndio mwenyekiti wa hilo soko! kwahiyo we ndo mjinga mkuu kuu! lol
Pata Malimao 2 weka ndani ya glasi ya maji baada ya kuyakata, Tango nusu kata weka ndani ya glasi ya maji, na majani ya Nanaa 10 au 10 weka katika glasi maji acha usiku kucha asaubuhi kabla ya kula kitu kunywa hayo maji utaondosha sumu iliyo mwilini mwako. Tumia kisha uje unipe feedback.
Pata Malimao 2 weka ndani ya glasi ya maji baada ya kuyakata, Tango nusu kata weka ndani ya glasi ya maji, na majani ya Nanaa 10 au 10 weka katika glasi maji acha usiku kucha asaubuhi kabla ya kula kitu kunywa hayo maji utaondosha sumu iliyo mwilini mwako. Tumia kisha uje unipe feedback.
Mkuu ili zoezi linafanyika kwa muda wa siku ngapi???? Au nikinywa mara moja tu inatosha???
Pata Malimao 2 weka ndani ya glasi ya maji baada ya kuyakata, Tango nusu kata weka ndani ya glasi ya maji, na majani ya Nanaa 10 au 10 weka katika glasi maji acha usiku kucha asaubuhi kabla ya kula kitu kunywa hayo maji utaondosha sumu iliyo mwilini mwako. Tumia kisha uje unipe feedback.
Angalia picha jinsi yalivyo n andio hivyo hivyo ufanye .Mh dr MziziMkavu,hayo malimao nayakamua na maji au kama yalivyo?
Angalia jinsi picha ilivyo na ndio hivyo hivyo utakavyo fanyaAsante sana mzizi mkavu, nataka kujaribu hii kitu. Ila nahisi sijaelewa vizuri hizo picha na maelezo. Ifuatavyo ndivyo nilivyo elewa, kama sivyo please nisaidie kwa lugha nyepesi
Siku ya kwanza: Limao vipande viwili
Siku ya pili: nusu ndimu, nusu tango na nanaa (mint)
Siku ya tatu: Mint na limau nusu
Siku ya nne: Nusu tango na limau nusu
NB/ Hivyo vyote vinatakiwa vilale kwenye maji na ninywe asubuhi kabla sijala chochote
Nipo sawa mkuu, Picha zimenichanganya sana,
Mkuu ili zoezi linafanyika kwa muda wa siku ngapi???? Au nikinywa mara moja tu
Kama utaweza kila mweziinatosha???
Pata Malimao 2 weka ndani ya glasi ya maji baada ya kuyakata, Tango nusu kata weka ndani ya glasi ya maji, na majani ya Nanaa 10 au 10 weka katika glasi maji acha usiku kucha asaubuhi kabla ya kula kitu kunywa hayo maji utaondosha sumu iliyo mwilini mwako. Tumia kisha uje unipe feedback.
Nanaa kwa Dar unaweza kuipata soko la Kariakoo, soko mjinga la Mkunguni na Bibi titi au soko la mabaniani, Zanaki Street opposite na Zanzibar Hotel. Ukiwaaambia nanaa tu wanakupatia.
Utakunywa kila glasi moja kama ilivyo hapo kwenye picha Kuna chungwa,Tango,Nanaa na limau zote zipo glasi 4 utakunywa hiyo dawa kwa muda wa siku 3 utafanya hivyo hivyo kila siku dawa mpya.
baada ya kunywa hiyo dawa unatakiwa ukae japo saa 1 ipite ndipo waweza kula hivyo vitumbuwa vyako na machopo chopo yako ya asubuhi.Baada ya kunywa huo mchanganyiko asubuhi,natakiwa kukaa muda gani ili kuanza kula? Au nikimaliza tu naweza piga chai vitumbua hapohapo?