Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Bado naiona a risk business, hela yako inaweza isirudi.Sawa kaka nimawazo yako pia yanafaa kuzingatiwa
Ila tambua hii huduma ipo na inafanya kazi Mteja atachagua kipi sahihi kununua wifi vocha au ya kawaida
Lakini pia Huduma kama inavyoitwa HSP inalenga eneo ni eidha mahali jengo au eneo Fulani lenye mkusanyiko wa watu hii huduma Sio ya kila mtu na Sio ya kila eneo inakusudia eneo lenye mkusanyiko wa watu kama Sokoni,stand,hostel,fukwe na maeneo yanayofanana na hayo
Inarudi within 2 up to 3 month Toka uanze mkuu kama unanafasi naweza kuonyeshwa site zilizorudisha hela acha nikupe mahesabu mafupiBado naiona a risk business, hela yako inaweza isirudi.
Lingekuwa eneo halina mtandao wa internet, wewe ukaja na satellite/dish, ningekuelewa
Ndani ya miezi miwili unapata offer ya kiasi gani cha GB kwa mwezi?Inarudi within 2 up to 3 month Toka uanze mkuu kama unanafasi naweza kuonyeshwa site zilizorudisha hela acha nikupe mahesabu mafupi
- Site Moja Ina cost around 1,100,000=
- Kwa bajeti hii system inaweza kuhudumia minimum 20 to 50 per day
- Mteja mmoja huchajiwa 1,000/= kwa 2Gb per day
- kama eneo uliopo unaweza kuhudumia minimum 30 customer per day unatengeneza 30,000/=
- ikiwa eneo uliopo linamzunguko siku Zote 30 za mwezi una 900,000/=
- Ikiwa eneo uliopo mzunguko wake ni siku 20 kati ya siku 30 za mwezi ni 600,000
- sasa zidisha mara tatu na ksumbuka system Inakuja na offa ya package Kwa miezi 2 hivo watatu ndio utaanza kumlipa mtoa huduma wa internet
KUMBUKA Haya Sio masimulizi ni ushuhuda Kwa site zilizo Mtaani zinafanya kazi
3,000 Kwa mweziNdani ya miezi miwili unapata offer ya kiasi gani cha GB kwa mwezi?
Acha wizi wewe utachomwa moto tapeli weweNawe Fanya utafiti acha majungu na wivu mtoto wa kiume
sawa sawa nimekuelewaAcha wizi wewe utachomwa moto tapeli wewe
ila nikifanikiwa kukutapeli wewe nakuahidi nitaacha kabisaaaa πππAcha wizi wewe utachomwa moto tapeli wewe
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Tutapigana...sawa sawa nimekuelewa
ila nikifanikiwa kukutapeli wewe nakuahidi nitaacha kabisaaaa πππ