Tengeneza hadi 50,000/= kwa siku kwa kufanya biashara ya kuuza internet kupitia WiFi kwenye maeneo yenye mkusanyiko

Tengeneza hadi 50,000/= kwa siku kwa kufanya biashara ya kuuza internet kupitia WiFi kwenye maeneo yenye mkusanyiko

Swali la msingi:
Hiyo internet Yako wee unaitoa Kwa nani?

Nmeuliza hivi maana juz juz TU Arusha Watu wamedakwa wakiuza internet ya starlink nchini bila kibali Cha tcra,

Na wako cello Hadi Sasa.
Ila issue ya Starlink wangeiangalia kwa jicho la uharaka, ni ya muhimu sana hii
 
NyegereBOY kuna lile jagi la Airtel wanalipia 70k Kwa mwezi ni tofauti na hii system yako? au, nieleweshe hapa👇
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    3.2 KB · Views: 4
NyegereBOY kuna lile jagi la Airtel wanalipia 70k Kwa mwezi ni tofauti na hii system yako? au, nieleweshe hapa👇
Hapana havifanani kabisa hii ni full system inayokuwezesha kufanya biashara hiyo watu wanainadili matumizi kutoka ya nyumbani na kigeuza ya biashara
 
Hivi ndio jinsi inavyokuwa na inauwezo wa kutengeneza vocha pia
 

Attachments

  • 20241018_135556~2-1.mp4
    36.6 MB
  • Screenshot_20250219-094717_Omada.jpg
    Screenshot_20250219-094717_Omada.jpg
    176 KB · Views: 3
Uwongo..
Kuweni makini..
Hakuna kitu kama hicho

Kuweni makini
 
Wakuu Kwa wale mliokuwa mnauliza hii kitu inafanyika jibu ni ndio Sio kitu Cha kufikirika kipo tayari Sokoni na kinafanya kazi Kwa sasa sites zipo dar ila hata mkoani ukihitaji tutakufungia karibuni sana ukiwa na swali la haraka au kutaka uwelewa zaidi nimpigie kupitia 0710186890 au Text me Whatsapp
 
Ikiwa huna uwelewa wa jambo Fulani usisite kuuliza uelekezwe hata kuonyeshwa pia kama unamda tembelea site tulizofunga kama upo dar
Acha uwongo sio mzri.
Tafuta pesa kwa halali mkuu..

Kama kijana usijiwekeze katika kazi ya utapeli mapema hvi
 
Acha uwongo sio mzri.
Tafuta pesa kwa halali mkuu..

Kama kijana usijiwekeze katika kazi ya utapeli mapema hvi
kwenye kila positive things watu kama nyinyi hamkosekani popote duniani nanyinyi ndio mnaosababisha wenye positive vibe kuwa motivated kila sekunde na kufanya zaidi kwaio haunishtui na sina haja ya ku prove kwa maneno ukitaka just call me nikuchukue na nikupeleke site hutaki endelea kukaa nyuma ya keyboard na u spreed negative mindset kila mahali
 
kwenye kila positive things watu kama nyinyi hamkosekani popote duniani nanyinyi ndio mnaosababisha wenye positive vibe kuwa motivated kila sekunde na kufanya zaidi kwaio haunishtui na sina haja ya ku prove kwa maneno ukitaka just call me nikuchukue na nikupeleke site hutaki endelea kukaa nyuma ya keyboard na u spreed negative mindset kila mahali
Fanya kazi halali acha utapeli...
 
Habari wanajanvi

Naomba niwapeleke Moja Kwa Moja kwenye lengo husika kama kichwa kinavyosema.

Kuna hii fursa ambayo sisi tumeona tuiite fursa mpya kutokana na uhitaji mkubwa ulionao na upatikanaji wake mdogo.

Baada ya kufanya tafiti na kutenga muda mrefu wa kujifunza kuhusu uwekezaji au biashara hii ambayo kitaalamu inafahamika kama Hotspot service provider

HOTSPOT SERVICE PROVIDER - ni
kampuni au mtu anayetoa huduma ya mtandao wa WiFi katika maeneo ya umma au kwa wateja wake. Watoa huduma hawa mara nyingi huweka vifaa vya WiFi katika maeneo kama vile migahawa, hoteli, viwanja vya ndege,Sokoni, stand za mabasi Migahawani, vyuoni na maeneo yenye mkusanyiko wa watu

Hii ni fursa mpya na adhimu sana hasa hapa kwetu Tanzania kwakuwa maeneo hayo au yenye mkusanyiko au kukutanisha watu ni nadra sana kupata huduma ya internet au WiFi na hata maeneo machache yaliyo na huduma hii yamekuwa hayakidhi mahitaji kwakuwa wengi Kwa kukosa uwelewa au Kwa makusudi hueka mifumo ambayo Haina UWEZO wa kukidhi au kuhudumia idadi kubwa ya watu mara nyingi Huwa ni watu 5 mpaka 10 pekee.

Kila mmoja anatambua umuhimu wa huduma ya internet changamoto ni gharama za kupata huduma hii. Kupitia fursa au biashara hii ya kusambaza internet Kwa njia ya wifi katika maeneo yenye mkusanyiko wa watu italeta nafuu Kwa watumiaji wa internet katika maeneo hayo

MCHANGANUO WA FURSA HII / BIASHARA HII

Ili uweze kutoa huduma hii yakupasa kuwa na vifaa wezeshi ili kusaidia kufanikisha jambo hili Kwa bahati nzuri vifaa hivi vyote vinapatikana hapa ambapo bei ya vifaa pamoja na ufundi na elimu kwako mtoa huduma Ina gharimu kiasi Cha 1,500,000/= hapo unakuwa na system full ambayo itakuwezesha kutengeneza Faida endelevu na utajipatia GB 3,000 Kwa mwezi kwaajili ya kuwauzia wateja wako

Turudi shule kidogo ili tuweze kuona uwekezaji huu unawezaje kukupa Faida ewe ndugu mtumishi,mjasiriamali na hata jobless

Baada ya kuwa na mtaji wa 1,500,000 na kununua vifaa basi utajipatia na GB 3000 za internet kutoka Kwa Internet service provider ( ISP ) mfano Tigo au vodacom kwaajili ya kuanzia biashara ya kuuza GB za internet katika maeneo hayo, ambapo hizi GB 3000 = (200Mpbs ) utakuwa ukizipata Kwa kulipia 400,000 kila mwezi Kwa Tigo Kwa voda pia ni bei hii hii pia

Sasa tukija kwenye hisabati

NOTE ;
Tunasema Gb 3000 ni makadirio ila kwa Hawa ISP huita huduma hii fixed wireless access ( FWA ) Mtaani mnaiita UNLIMITED INTERNET japo kiuhalisia Sio Unlimited internet Huwa wanafanya data Caping ambayo inaweza kukupa limiting ya GB kadhaa mfano Tigo ni GB 3000 kwa mwezi na voda wanacheza hapo


Kama GB 3000 unazipata Kwa 400,000 Kwa mwezi inamaana wewe ndio utaangalia namna ya kuuza ili uweze kupata Faida kukurahisishia tu ni kuwa maeneo tuliofunga wengi huuza GB 2 Kwa 1,000
Hivo kuwafanya watengeneze 1,500,000 Kwa mwezi sasa ukitoa gharama za GB ambazo ni 400,000 Kwa mwezi hubaki 1,100,000 Kila mwezi ambapo inaweza kupunguza au kuongezeka kulingana na idadi ya watu ulioweza kuwahudumia katika eneo husika

FAIDA ZA BIASHARA AU UWEKEZAJI HUU
• Ni rahisi kusimamia hata kama ukawa mtumishi na umeamua kuweza kujiajiri Kwa kuongeza kipato na biashara hii kwakuwa tutakupa mifumo itakayo kuwezesha kusimamia biashara yako ukiwa kazini kwako

• Hakuna gharama kubwa kwenye uwanzishwaji wake ukilingamisha na biashara zingine mfano fremu ya biashara mtaji mkubwa kwakuwa huu mfumo unaweza kufungwa popote na hauchukui nafasi kubwa

• Hukupa Faida endelevu yenye uhakika kila mwezi kupitia usimamizi rahisi unaofanywa na mfumo wenyewe Kwa masaada wetu kwako

• Unaweza kufanya popote Tanzania inakopatikana network pekee mfano unaweza kuweka biashara hii Dar na ukaisimamua ukiwa mwanza au ukaweka kigoma na ukaisimamia ukiwa arusha

• Ni rahisi kuhamishika yaani unauwezo wa kuhamisha mfumo wako endapo ikitokea umefunga katika eneo ambalo unahisi alikupi Faida ya kutosha

Kifupi biashara hii inafaida nyingi ukilinganisha na biashara nyinginezo

Nakaribisha maswali Kwa wadau ili tuweze kueleweshana na Kwa wewe Mwenye mtaji karibu

NOTE ;
Kama unapatikana Dar es Salaam tunaweza kukufikia ulipo na kukuonyesha jinsi mfumo unavyofanya kazi au kukupeleka site ambako vifaa vinafanya kazi maelezo zaidi nimeambatanisha video zenye maelezo ya kina karibuni sanaa
Childish analysis
1. Kumbuka hapo ulipo kuna established competitors. Mtu ata prefer kununua kwa voda au Tigo ili aendelee kutumia akiwa nje ya eneo hilo. Kumbuka hotspot is confined eneo hilo tu.
2. Kuna maswala ya kodi na tozo, rent, mshahara, vibali from regulator. hujayafikiria.
Elimu yetu ina matatizo
 
Childish analysis
1. Kumbuka hapo ulipo kuna established competitors. Mtu ata prefer kununua kwa voda au Tigo ili aendelee kutumia akiwa nje ya eneo hilo. Kumbuka hotspot is confined eneo hilo tu.
2. Kuna maswala ya kodi na tozo, rent, mshahara, vibali from regulator. hujayafikiria.
Elimu yetu ina matatizo
Sawa kaka nimawazo yako pia yanafaa kuzingatiwa
Ila tambua hii huduma ipo na inafanya kazi Mteja atachagua kipi sahihi kununua wifi vocha au ya kawaida
Lakini pia Huduma kama inavyoitwa HSP inalenga eneo ni eidha mahali jengo au eneo Fulani lenye mkusanyiko wa watu hii huduma Sio ya kila mtu na Sio ya kila eneo inakusudia eneo lenye mkusanyiko wa watu kama Sokoni,stand,hostel,fukwe na maeneo yanayofanana na hayo
 
Back
Top Bottom