Tengeneza Mkono wa Mbele na Nyuma Gym Kwa Kufanya Hivi....

Tengeneza Mkono wa Mbele na Nyuma Gym Kwa Kufanya Hivi....

Mkuu castro kwema? Nina kama wiki ya 4 tangu nianze gym.naenda kila siku kuanzia saa 4.00 mpka saa 6.00. Umenipa motisha sana. Gym nayohudhuria siyo modern sanaaa kihivyo ila ina vifaa vichache vya kisasa ambavyo uzito wake umepimwa vizuri. Nilishauriwa niwe naanza na bench za kifua na kuupa mwili nguvu.hpa huwa nainua chuma cha kilo 40 zote 2.napiga 10 harafu napumzika dakika 1 mpka round 10. Tatzo langu kubwa mkuu naishiwa nguvu mapema sana.yaani nakuwa na hamu sana ya zoez ila nguvu tu.
 
Wakanishuri kuwa push ups huwa zinaufanya mwili kuwa na nguvu sana je ni kweli? Vile vile wakaniambia mchana kabla sijaenda gym niwe nakula ugali mzito nihakikishe nashiba vizuri je ni kweli? Matokeo chanya nayaona ki ukweli kwa wiki hizo 4 ambazo nimefanya zoez serious. Nimeanza kuupenda mwili wangu kwa muonekano wangu unavyobadilika. Naomba unishauri kwa uzoefu wako mlo mzuri ambao naweza kuufata kuanzia asubuhi mpka jioni ili mwili kuwa na nguvu za kutosha! Asante sana mkuu. Umenipa sana motisha nipende zaidi mazoez.
 
Dah huu uzi nimeusoma saiv lakn ndio hivo ninavofanya kwenye zoez langu kilo ninazonyanyua ni kama kilo 40 mpka 45 dah raha sana.
 
Wakanishuri kuwa push ups huwa zinaufanya mwili kuwa na nguvu sana je ni kweli? Vile vile wakaniambia mchana kabla sijaenda gym niwe nakula ugali mzito nihakikishe nashiba vizuri je ni kweli? Matokeo chanya nayaona ki ukweli kwa wiki hizo 4 ambazo nimefanya zoez serious. Nimeanza kuupenda mwili wangu kwa muonekano wangu unavyobadilika. Naomba unishauri kwa uzoefu wako mlo mzuri ambao naweza kuufata kuanzia asubuhi mpka jioni ili mwili kuwa na nguvu za kutosha! Asante sana mkuu. Umenipa sana motisha nipende zaidi mazoez.
Samahani nimechelewa kuona post yako na jibu langu limechelewa.

Ni kweli push ups zinampa mtu nguvu za mikono isichoke na isitetemeke.

Katika kuishiwa pumzi hiyo inamaanisha unatakiwa utafute pumzi pia. Hivyo unaweza kutenga siku moja au mbili kwa ajili ya jogging.

Nilichokuandikia mara ya mwisho kwenye mlo ndiyo hiko hiko, ila kwakua unataka nguvu basi mkazo wako uwe kwenye kabohaidreti.

Nahisi haufanyi pull ups (zinatengeneza pumzi)

NB. Kutegemea na hitaji la kutaka mwili wako uwe na ukubwa gani na muonekano upi kukimbia kunaweza kua mara moja tu kwa wiki au mbili.
 
Kwa wanawake wenye mikono minene wanafanyaje ili ipungue?
Kama unamaanisha yule mtu ambaye aliwahi kua mnene akapungua ila mikono ikabaki hivyo hivyo au nyama zikawa zinaning'inia.
Option ni kuzifanya hizo nyama kua firm.

Kama unamaanisha mtu ni mnene overall na mikono yake ipo hivyo.
Option ni kufanya mazoezi ya kupungua mwili wote.
 
Duu Mazoezi matamu jamani,siku ambayo sijaenda,naona wenzangu wanarudi inaniuma sana!!
 
Mkuu hivi vinafanya ukiwa unashuka nafasi ya kushusha kifua iongezeke hivyo inajenga zaidi kifua kuliko atakayekua sehemu flat kabsa.

Ila kama utakua haushuki chini kama inavyotakiwa itakua ni kazi bure.
Ungekua na gym mi ningekua mteja wako. Nahofia kwenda gym zisizo na wataalam mana naweza nikajikuta nimepata matokeo ya bega moja lipo juu na lingine lipo chini, au mkono mmoja mnene mwingine umekonda[emoji4] [emoji1]
 
Ungekua na gym mi ningekua mteja wako. Nahofia kwenda gym zisizo na wataalam mana naweza nikajikuta nimepata matokeo ya bega moja lipo juu na lingine lipo chini, au mkono mmoja mnene mwingine umekonda[emoji4] [emoji1]
Ingia tu, hauwezi kukosa mtu akakuelekeza.
 
Mkuu kimbau mbau akila vizuri na akaamua kuingia gym kufanya mazoezi ili kutanua mwili..itamchukua muda gani hadi mwili ubadilike..lengo kubwa ni kutanua mwili uwe na muonekano wa kiume unavutua
 
Mkuu kimbau mbau akila vizuri na akaamua kuingia gym kufanya mazoezi ili kutanua mwili..itamchukua muda gani hadi mwili ubadilike..lengo kubwa ni kutanua mwili uwe na muonekano wa kiume unavutua
 
Si muda sana..Humchukua miaka mi3 tu(3yeez)
Mkuu kimbau mbau akila vizuri na akaamua kuingia gym kufanya mazoezi ili kutanua mwili..itamchukua muda gani hadi mwili ubadilike..lengo kubwa ni kutanua mwili uwe na muonekano wa kiume unavutua
 
Mkuu kimbau mbau akila vizuri na akaamua kuingia gym kufanya mazoezi ili kutanua mwili..itamchukua muda gani hadi mwili ubadilike..lengo kubwa ni kutanua mwili uwe na muonekano wa kiume unavutua
Mbona kama nilishakujibu somewhere.

Nilisema huchukua wiki 6.
 
Shukrani mkuu kuanzia tarehe moja December naingia gym nitaleta mrejesho.
 
Back
Top Bottom