Tengeneza Mkono wa Mbele na Nyuma Gym Kwa Kufanya Hivi....

Tengeneza Mkono wa Mbele na Nyuma Gym Kwa Kufanya Hivi....

Hivi lengo kuu la haya ma gym ninini?
Mbona siku hizi yamepamba moto?
Kuna wanaoamua kutengeneza mwili uwe na muonekano na ukubwa wanaoutaka.

Kuna wanaotaka kua fit.

Kuna wanaoenda gym kwakua ni ajira yao.
 
Hebu fafanua mkuu

Hapo kwenye support inatoka kwenye bench press pafafanue vizuri
Yan unatakiwa ukishafika gym kama una ratiba ya mkono usianze na mkono direct..uanze mazoezi ya warm up kama kawaida,then anza na zile bench press za chest yan kama unafanya mazeozi ya chest..piga zako chest kama kawaida then after 30 minutes of chest bench press anza ratiba ya mkono sasa..na hapo utauhisi mkono umepata nguvu tofauti na awali..

Point to note: anza na mazoezi ya bicepts kwanza then yafate ya tricepts..na ucweke ratiba yakupiga tricepts na bicept cku tofauti..lazma yajumuishwe siku moja kwa schedule moja..apo utapata matokeo mzuri kwa mda mfupi sana..na kwenye tricepts kuna kujaza tricept na kukata tricepts,make sure ukishajanza unafungua mkono then unaongeza weight ili kuikata tricept yako..mkono utapendeza haswa..

Tukiendelea na hii mada ntapiga picha muuone mkono wangu ulivyo mkubwa wastani lakini upo very attractive..kila kitu kipo kwenye muundo wake..
 
Yan unatakiwa ukishafika gym kama una ratiba ya mkono usianze na mkono direct..uanze mazoezi ya warm up kama kawaida,then anza na zile bench press za chest yan kama unafanya mazeozi ya chest..piga zako chest kama kawaida then after 30 minutes of chest bench press anza ratiba ya mkono sasa..na hapo utauhisi mkono umepata nguvu tofauti na awali..

Point to note: anza na mazoezi ya bicepts kwanza then yafate ya tricepts..na ucweke ratiba yakupiga tricepts na bicept cku tofauti..lazma yajumuishwe siku moja kwa schedule moja..apo utapata matokeo mzuri kwa mda mfupi sana..na kwenye tricepts kuna kujaza tricept na kukata tricepts,make sure ukishajanza unafungua mkono then unaongeza weight ili kuikata tricept yako..mkono utapendeza haswa..

Tukiendelea na hii mada ntapiga picha muuone mkono wangu ulivyo mkubwa wastani lakini upo very attractive..kila kitu kipo kwenye muundo wake..
Kwenye mazoezi kuna misuli primary na misuli sekondari.
Kila zoezi unalofanya utakua unaitrain misuli primary lakini effects itaifikia na misuli sekondari.

Mfano ukiwa unajivuta, ingawa utakua unatengeneza wings lakini hadi biceps zitaguswa tena zinaweza zikajaa kama vile umezilenga zenyewe.

Napendekeza mtu anayeanza asichanganye mazoezi ya triceps na biceps kwa siku moja, kwasababu kuna aina nyingi za mazoezi ambayo mtu anaweza akafanya kwa ajili ya biceps tu au triceps pekee.

Nipo break mazoezi (ndiyo maana nimesema mtu asiniquote) sina cha kukuonyesha
 
Kwenye mazoezi kuna misuli primary na misuli sekondari.
Kila zoezi unalofanya utakua unaitrain misuli primary lakini effects itaifikia na misuli sekondari.

Mfano ukiwa unajivuta, ingawa utakua unatengeneza wings lakini hadi biceps zitaguswa tena zinaweza zikajaa kama vile umezilenga zenyewe.

Napendekeza mtu anayeanza asichanganye mazoezi ya triceps na biceps kwa siku moja, kwasababu kuna aina nyingi za mazoezi ambayo mtu anaweza akafanya kwa ajili ya biceps tu au triceps pekee.

Nipo break mazoezi (ndiyo maana nimesema mtu asiniquote) sina cha kukuonyesha
Yeah well said mkuu..
 
Ingawa mm nlikua nachanganya from day 1 na nlipata matokeo mazuri kwa mda mfupi labda kwa sbb nna nature ya mkono mkubwa..
 
Ingawa mm nlikua nachanganya from day 1 na nlipata matokeo mazuri kwa mda mfupi labda kwa sbb nna nature ya mkono mkubwa..
Nilichogundua kwa muda niliofanya mazoezi ni kwamba Mazoezi yana tabia kwamba vyovyote utakavyofanya yanakuletea effects.

Mfano mimi nikiingia routine ya bench hua nafanya na biceps, kuanzia warm up mpaka namaliza bench,

Pull ups raundi nne, mbele na nyuma

flat bench seti tano, incline seti tano, slope seti tano, centre seti nne.

Dips seti tano.

Pull over seti nne.

Dumbbell curls.

Preacher curls

Hammer curls.

Barbell curls double.

21 barbell curls.

Barbell hammer curls.

Hadi nikisema nianze tena triceps inawezekana nikatumia saa zaidi ya tano
 
Nilichogundua kwa muda niliofanya mazoezi ni kwamba Mazoezi yana tabia kwamba vyovyote utakavyofanya yanakuletea effects.

Mfano mimi nikiingia routine ya bench hua nafanya na biceps, kuanzia warm up mpaka namaliza bench,

Pull ups raundi nne, mbele na nyuma

flat bench seti tano, incline seti tano, slope seti tano, centre seti nne.

Dips seti tano.

Pull over seti nne.

Dumbbell curls.

Preacher curls

Hammer curls.

Barbell curls double.

21 barbell curls.

Barbell hammer curls.

Hadi nikisema nianze tena triceps inawezekana nikatumia saa zaidi ya tano
Duuh upo vzuri mzee baba hahaha...aisee me nshakua mvivu yan..na uvivu unakujaga nikifikiria kuwa nakazia week hili alaf week ijayo inaweza kuwa na possibility ya kubanwa na mishe alaf nisiende tena gym..

So huwaga nagusa gusa tu ckuiz nicpoteze nature ya mwili nnaouhitaji bas..ila mbeleni nikitulia aisee ntajiwekea ratiba io nikaze adi nijisahau..
 
Duuh upo vzuri mzee baba hahaha...aisee me nshakua mvivu yan..na uvivu unakujaga nikifikiria kuwa nakazia week hili alaf week ijayo inaweza kuwa na possibility ya kubanwa na mishe alaf nisiende tena gym..

So huwaga nagusa gusa tu ckuiz nicpoteze nature ya mwili nnaouhitaji bas..ila mbeleni nikitulia aisee ntajiwekea ratiba io nikaze adi nijisahau..
Ingawa kufanya zoezi muda mrefu siyo ku-gain, so mi naona hata ndani ya saa moja na nusu kama uta-train ipasavyo utapata matokeo mazuri kabisa
 
Nilichogundua kwa muda niliofanya mazoezi ni kwamba Mazoezi yana tabia kwamba vyovyote utakavyofanya yanakuletea effects.

Mfano mimi nikiingia routine ya bench hua nafanya na biceps, kuanzia warm up mpaka namaliza bench,

Pull ups raundi nne, mbele na nyuma

flat bench seti tano, incline seti tano, slope seti tano, centre seti nne.

Dips seti tano.

Pull over seti nne.

Dumbbell curls.

Preacher curls

Hammer curls.

Barbell curls double.

21 barbell curls.

Barbell hammer curls.

Hadi nikisema nianze tena triceps inawezekana nikatumia saa zaidi ya tano
Tena me nmekua mvivu..haswa mazoezi nnayofanya ckuiz nikingia ni warm up kwanza..naenza cheza pushup set nzima,nikafanya pullups za mbele tu,nikavuta mashine kwa uzito wa kawaida kuvuta wings then nianze

Bench press flat.
Incline bench press
Decline bench press
Napiga dampel za incline kuchana chest hapo ndio nakazia zaidi
Then naua tizi..

Kama nna ratiba ya mkono naendelezea hapo sasa..
 
Tena me nmekua mvivu..haswa mazoezi nnayofanya ckuiz nikingia ni warm up kwanza..naenza cheza pushup set nzima,nikafanya pullups za mbele tu,nikavuta mashine kwa uzito wa kawaida kuvuta wings then nianze

Bench press flat.
Incline bench press
Decline bench press
Napiga dampel za incline kuchana chest hapo ndio nakazia zaidi
Then naua tizi..

Kama nna ratiba ya mkono naendelezea hapo sasa..
Hahahahaha naona umefocus zaidi kutengeneza mito mtoto alalie
 
Ingawa kufanya zoezi muda mrefu siyo ku-gain, so mi naona hata ndani ya saa moja na nusu kama uta-train ipasavyo utapata matokeo mazuri kabisa
Yeah ni kweli..jipe mapumziko ya sekunde 60 tu kwa kila laps utakazoenda..ila kwa chest wataalamu wanainsist uzito mkubwa..yani the bigger the weight you pull the more gainings you acquire..
 
Yeah ni kweli..jipe mapumziko ya sekunde 60 tu kwa kila laps utakazoenda..ila kwa chest wataalamu wanainsist uzito mkubwa..yani the bigger the weight you pull the more gainings you acquire..
Ukikosa weight kubwa na nzito.

Chukua weight ambayo unaweza kwenda reps 30 bila kuchoka.

Kwenye flat bench anza kwa kupiga reps 15, kisha pumzika kwa sekunde 10, anza kupiga reps 15 zingine ila sasa hivi usikunjue mikono hadi juu.

Yaani ukishusha unakua unagusa kifua ukipandisha unaishia nusu na kurudisha tena chini.
 
Hahahahaha naona umefocus zaidi kutengeneza mito mtoto alalie
Hahah kimtindo tu..huwa mkono cpendeleag maana huwa unakuaga mkubwa zaidi kuliko chest..so cgusag mara nyingi..
 
Hizi zilikua nyuzi mbili tofauti sijui kwanini mods waliunganisha hadi leo sijapata majibu
 
Back
Top Bottom