kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
mkuu me nasema pushup fulani hivi ukipiga mikono unakuwa unafanya kama unapiga skullcrushers hutengenezi alama ya kopa kwenye vidole unaiweka mikono kawaida tu ila ukitoka juu lazima vipepsi viguse chini je nzuri kwa triceps vp nikichanganya na diamond push upWakuu naomba mjue nachelewa mno kupata notification, yaani ili nione kama nina notification hua nikiwa nataka kuingia kwenye uzi wangu mwingine ndiyo naona kua kuna mtu amechangia.
Nikija kuangalia nakuta mtu aliniquote kabisa lakini sipati notification. Tutaendeleza libeneke hivi hivi mpaka JF wenyewe watakapotatua tatizo.
Mkuu ninazozijua mimi ni kama hizi.mkuu me nasema pushup fulani hivi ukipiga mikono unakuwa unafanya kama unapiga skullcrushers hutengenezi alama ya kopa kwenye vidole unaiweka mikono kawaida tu ila ukitoka juu lazima vipepsi viguse chini je nzuri kwa triceps vp nikichanganya na diamond push up
poa mkuu ngoja nirushe videoMkuu ninazozijua mimi ni kama hizi.
View attachment 497583
Kama una picha ya hizi unazozisema naomba ushee nasi ili tujifunze kitu kipya.
Ila hata hivyo kuchanganya haliwezi kua tatizo hii ni kwakua aina zote mbili zina lengo moja la kujenga triceps. Hivyo unaweza ukaanza na Diamond push ups na kumalizia hizo zingine au kinyume chake.
sorry nashindwa kuiupload kila nikijaribu inagomaPamoja sana, tunaingoja.
Log in kupitia browser yako yaani mfano Uc Browser au Opera.sorry nashindwa kuiupload kila nikijaribu inagoma
kama hizo kwenye videoMkuu ninazozijua mimi ni kama hizi.
View attachment 497583
Kama una picha ya hizi unazozisema naomba ushee nasi ili tujifunze kitu kipya.
Ila hata hivyo kuchanganya haliwezi kua tatizo hii ni kwakua aina zote mbili zina lengo moja la kujenga triceps. Hivyo unaweza ukaanza na Diamond push ups na kumalizia hizo zingine au kinyume chake.
mkuu tayari nimeweka videoLog in kupitia browser yako yaani mfano Uc Browser au Opera.
Utakuta kialama cha alerts naamini na alert yangu itakuepo ingia tu hapo utakuta kiicon cha kuattach utatumia hiko hiko kuchukua video na kuiweka humu.
Mkuu nimeona.kama hizo kwenye video
poa mkuuMkuu nimeona.
Ni mara yangu ya kwanza kuziona push ups za hivi itabidi niibe ujuzi hapa.
Ila ni kama nilivyosema, kua kwa maoni yangu kufanya mazoezi mawili au hata kumi tofauti lakini yanatengeneza kitu kile kile siyo vibaya.
Cha msingi ni kupangilia zoezi lipi lianze na lipi lifuatie.
Day 1- Nikaanza push ups kwa kupiga reps 10 raundi 4. Hiyo ni baada ya push ups zingine. Sina mkao mzuri nashindwa kuviweka viwiko chini.poa mkuu
somo zuri aisee nimeanza juzi hili zoezi hapa nilipo mikono hainyooki, na nikiinyoosha ni maumivu sijapata ona. Naomba uniambie nitumie dawa gani coz hii ni baraaa nashindwa fanya kazi nyingine.Pamoja mkuu.
Hiyo kitu haiihitaji dawa mkuu, badala yake unatakiwa kuendelea na zoezi lako kama kawaida.somo zuri aisee nimeanza juzi hili zoezi hapa nilipo mikono hainyooki, na nikiinyoosha ni maumivu sijapata ona. Naomba uniambie nitumie dawa gani coz hii ni baraaa nashindwa fanya kazi nyingine.
Nimekusoma mkuu ntafanya hivyo, kitu kingine mkono wa kishoto unakuwa weak sana je nnaweza fanya mazoezi kwa tofauti ya reps kati ya kushoto na kulia.Hiyo kitu haiihitaji dawa mkuu, badala yake unatakiwa kuendelea na zoezi lako kama kawaida.
Kama unashindwa kwenda raundi ulizoenda mwanzo, punguza raundi na reps baadaye unakua sawa.
Ili kuepuka strain kua kubwa usifanye zoezi la aina moja kila siku.
Sishauri hilo kufanya hivyo kutapelekea kusiwe na makuzi yanayowiana.Nimekusoma mkuu ntafanya hivyo, kitu kingine mkono wa kishoto unakuwa weak sana je nnaweza fanya mazoezi kwa tofauti ya reps kati ya kushoto na kulia.
MiaSishauri hilo kufanya hivyo kutapelekea kusiwe na makuzi yanayowiana.
Kama unaona mkono unakua na udhaifu hivyo basi fanya zoezi kwa uzito wa kawaida (light weight).