Zipo za bure na advanced zinazouzwaIzo software ni bure au zinauzwa?
hahahahaUzi mtamu sana huu kwa vijana wanaotaka kujiajiri. Huwezi kabisa kuulinganisha na ule wa yule mbwiga VIKITIM na Kaka yake Mwarabu.
leo usikae mbali unyama upo mwingi[emoji95][emoji95]
Hizi kazi saiv zinafanyika uvunguni, we umeweka mpaka namba,.
sio kweli mzee hatufanyi vitu kinyume na sheria ndio maana tupo hadharaniSure!!!!
Nikija Dara nitakutafuta nataka mafunzo ndugu.sio kweli mzee hatufanyi vitu kinyume na sheria ndio maana tupo hadharani
Pakua hapa software za kuflash simu na driver zakeLink ya hzo software, hayo mengine ni mbwembwe tuu
Naomba link ya huo uziOK sawa lakini mbona mmeulipia pesa