saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Hiyo katiba unayoifikiria utaikuta aheraZaidi zinaongeza tu idadi ya waajiriwa wa serikali. Maana wameambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kwa muda wote huo wanaposubiri hiyo kazi nyingine huku wakiwa majumbani kwao, mzigo nao kila mwezi unaingia tu kwenye akaunti!!
Aisee Katiba mpya ni muhimu sana. Maana haya madaraka ya Rais ni too much.
Akili yako ndiyo iko likizoUkiwa wale wafia nchi kwa kutafuta maendeleo yao kwa maisha yao, wasahau kabisa, Nchi ipo likizo; anayeamini hii nchi inaendelea na itabadirika tukutane 2030 kama tutakuwa hai.
Nchi ipo likizo
Kama umeongea pointWanabadilishana mirija ya ulaji wa keki. Usichukulie serious sana.
Mjinga mamako we bwegeANacheza na akili za Wajinga kumbuka nchi asilimia 80 ni wajinga
Wanalipwa, yaani ni katiba ya hovyo sn, tunaishi kwa hisani ya Rais na siyo Katiba sheria na taratibuZaidi zinaongeza tu idadi ya waajiriwa wa serikali. Maana wameambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kwa muda wote huo wanaposubiri hiyo kazi nyingine huku wakiwa majumbani kwao, mzigo nao kila mwezi unaingia tu kwenye akaunti!!
Aisee Katiba mpya ni muhimu sana. Maana haya madaraka ya Rais ni too much.
Wanajua aina ya watu wanaowakalia.Halafu nimegundua kuna watu wa Napenda sana kuzisikia hizi habari za tengua teua.
Ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa.
umetaja chache bwana 🤣🤣 ni 98%ANacheza na akili za Wajinga kumbuka nchi asilimia 80 ni wajinga
🖕Maneno yakichoko kabisa!vyeo sio vya baba yao wakizingua piga chini,MAMA ANAUPIGA MWINGI.
Kuna Dc mmoja, alitenguliwa baada ya miezi 2,akateuliwa tena kuwa Dc wa wilaya nyingine!! Huwa ni sandakalawe tuNaam, nasema wazi kabisa.
Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.
Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.
Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?
Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.
Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.
Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?
Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.
Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.
Major fail!!!
Alizoea kukata tepe atafanyaje sasaToka ameingia kazi anayofanya ni ya kuteua, kutengua na kuhamisha siyoni jipya kwake
Hii ni hasara kubwa kwa taifaAlizoea kukata tepe atafanyaje sasa
Hata Msemaji Mkuu wa serikali aliteuliwa kuwa DC baada ya mwezi mmoja akateuliwa kuwa Msemaji Mkuu, Mambo ya hovyo snKuna Dc mmoja, alitenguliwa baada ya miezi 2,akateuliwa tena kuwa Dc wa wilaya nyingine!! Huwa ni sandakalawe tu
Raha wanazo wanalipwaBaadhi ya watendaji wamekula pasaka na huzuni ,Pdf la Zuhura limewaweka pembeni.
Zamani kwenye mitahani ya siasa/civics ulikuwa unajua kabisa kutaja watendaji wa serikali maana walikuwa wanakaa kwa muda mrefu ila kwasasa hao watendaji hawana raha maana pdf muda wowote linapita.
Mpaka nape anajisifu wizara yake haijatia hasara kama ripoti ya nyuma ni huzuni sanaCag akitoa ripoti hakuna kinachofanyika huu ni usanii wa kisiasa.
Yaani ni ujinga ujinga tu!Shida ya Tanganyika ni kukosa upeo.
Unaona vile Bibi Kizimkazi anawazuga malofa akijua fika hakuna atakayegundua janja zake.
Ni watanganyika wangapi wenye upeo wa kubaini kwamba Bibi Kizimkazi anacheza mchezo wa kombolela?
Anaruka ruka na kudana dana kama kisungura-tope huku siku zinayoyoma kuelekea 2025.
Akimaliza anakula kona na shungi lake halafu anakuja mwingine kuendeleza maigizo.
"Mzigo tu unaingia kwenye akaunti" Kumbe ndivyo ilivyo?!Zaidi zinaongeza tu idadi ya waajiriwa wa serikali. Maana wameambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kwa muda wote huo wanaposubiri hiyo kazi nyingine huku wakiwa majumbani kwao, mzigo nao kila mwezi unaingia tu kwenye akaunti!!
Aisee Katiba mpya ni muhimu sana. Maana haya madaraka ya Rais ni too much.