Tengua - teua ni danganya toto tu! Hazina tija yoyote ile

Tengua - teua ni danganya toto tu! Hazina tija yoyote ile

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
 
Zaidi zinaongeza tu idadi ya waajiriwa wa serikali. Maana wameambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kwa muda wote huo wanaposubiri hiyo kazi nyingine huku wakiwa majumbani kwao, mzigo nao kila mwezi unaingia tu kwenye akaunti!!

Aisee Katiba mpya ni muhimu sana. Maana haya madaraka ya Rais ni too much.
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
Ukiwa wale wafia nchi kwa kutafuta maendeleo yao kwa maisha yao, wasahau kabisa, Nchi ipo likizo; anayeamini hii nchi inaendelea na itabadirika tukutane 2030 kama tutakuwa hai.

Nchi ipo likizo
 
Zaidi zinaongeza tu idadi ya waajiriwa wa serikali. Maana wameambiwa watapangiwa kazi nyingine. Kwa muda wote huo wanaposubiri hiyo kazi nyingine huku wakiwa majumbani kwao, mzigo nao kila mwezi unaingia tu kwenye akaunti!!

Aisee Katiba mpya ni muhimu sana. Maana haya madaraka ya Rais ni too much.
Hovyo sana kwa kweli!
 
Ukiwa wale wafia nchi kwa kutafuta maendeleo yao kwa maisha yao, wasahau kabisa, Nchi ipo likizo; anayeamini hii nchi inaendelea na itabadirika tukutane 2030 kama tutakuwa hai.

Nchi ipo likizo
Halafu nimegundua kuna watu wa Napenda sana kuzisikia hizi habari za tengua teua.

Ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa.
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
ANacheza na akili za Wajinga kumbuka nchi asilimia 80 ni wajinga
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
Ni matumizi mabaya ya fedha za umma, kumteua DC/RC ni zaidi ya milioni 40 na wanaondoka lazima uwalipe pia
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
We nenda ukajadiliane na nyani wenzio, hakuna unachoelewa
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
Wanabadilishana mirija ya ulaji wa keki. Usichukulie serious sana.
 
Back
Top Bottom