Tengua - teua ni danganya toto tu! Hazina tija yoyote ile

Tengua - teua ni danganya toto tu! Hazina tija yoyote ile

Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
Uko sahihi kabisa
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!

Halafu ni wale wale

Wanatoka hapa na kwenda pale

CCM
 
Inafanya mtu asiwe na uhakika na nafasi yake jambo ambalo linashusha utendaji na kuhamasisha wizi@chukua chako mapema.

Yaani mtu hajapanga mipango ya kazi vizuri kashaleftishwa! UDART tangu wabadilishe kila leo nothing has changed.
Stupidity at the peak
 
Baadhi ya watendaji wamekula pasaka na huzuni ,Pdf la Zuhura limewaweka pembeni.

Zamani kwenye mitahani ya siasa/civics ulikuwa unajua kabisa kutaja watendaji wa serikali maana walikuwa wanakaa kwa muda mrefu ila kwasasa hao watendaji hawana raha maana pdf muda wowote linapita.
Hiyo productivity itatoka wapi mtu saa zote, ana wasiwasi kama anaoga nje

Boresha vetting system,mpe ToR,muwezeshe,msimamie + mpe muda,lazima ataleta MATOKEO
 
Mama anaupiga mwingi eti

Kidumu chama cha mapunduzi
 
Wakati msukuma mwenzako anafanya hivyo ulikuwa unashangilia
 
Sasa kama alikuwa anataka msaada ili wananchi wamwelewe makonda alimteua wa nn? Afu gemu limekubali anamtoa tena....sijui anawazaga nn?
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
Musical chairs.
Kwa kweli hata mimi naona we have a fragile Government, unsure of its objectives.
 
Naam, nasema wazi kabisa.

Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.

Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.

Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?

Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.

Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.

Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?

Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.

Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.

Major fail!!!
Hii ni kupotezeana muda tuu
Juzi CAG kasema wizara ya uchukuzi ATC imeingia hasara ya mabilioni, waziri yuko at leasure
Wizara ya afya ina cheza na afya zetu lakini hawaguswi.
Narudia kusema teuzi hizi ni za kimahaba zaidi na sio kurekebisha serikali
 
Ni kweli.Serikali haiendeshwi na mawaziri,inaendeshwa na permanent secretaries na underlings wao waliomo humo miaka na miaka..

Kiufupi Hawa mawaziri ni figureheads,signatories,watoa hotuba bungeni tu na 'waimba mapambio' wa Rais kwenye jukwaa za kisiasa. policy makers wapo na wamesizi pale Dodoma wanasubiri bajeti nyingine . Hizi tengua tengua ni danganya toto kwa wananchi wakidhani anayekuja ataongeza ufanisi..CRAP
 
Maneno yakichoko kabisa!vyeo sio vya baba yao wakizingua piga chini,MAMA ANAUPIGA MWINGI.
Homo erectus kama nyinyi mmejaa sana Afrika na mmepewa nguvu ya kura moja ndio maana tunashindwa kuendelea
 
Mimi nina mtazamo tofauti kidogo,,, je bora watu wakae mda mrefu ktk nafasi zao hata kama wanapwaya au waondolewe wawekwe wengine?

Jibu lazima watolewe hilo liko wazi,,, shida ipo kwenye uteuzi,, inaelekea washauri bado hawamshauri raisi vizuri,,,madam President alishawi sema siku moja kuwa yeye huletewa majina na kuambiwa fulani anafaa basi yeye huidhinisha tu,, sasa inaelekea baadae anakuja kujionea mwenyewe ha! Huyu mbona sio kama vile nilivyoambiwa?

Chamsingi sasa madam President ahakikishe kila teuzi anayoifanya awe amejiridhisha nayo vya kutosha kabla ya kuwapa dhamana
 
Back
Top Bottom