Tennis 2011

Tennis 2011

Djoko angetoa upinzani zaidi japokuwa sikutaka ashinde ile nusu-fainali na Roger maana leo hii Rafa angekuwa No.2....Nafikiri Roger kuna namna fulani anamwogopa sana Rafa, just like Arsenal defence vs Drogba!

Utadhani ulikuwapo katika mazungumzo na jamaa yangu ya simu dkk chache zilizopita nilitoa kauli hiyo hiyo kwamba Federer hajiamini kabisa anapocheza na Nadal na hivyo anakosa confidence ya kuweza kupambana naye kama anavyocheza na wengine huku.
 
Djoko angetoa upinzani zaidi japokuwa sikutaka ashinde ile nusu-fainali na Roger maana leo hii Rafa angekuwa No.2....Nafikiri Roger kuna namna fulani anamwogopa sana Rafa, just like Arsenal defence vs Drogba!
Watakusikia wenyewe mana comparison nyingine huku sio kwake mana hawacheweli kuamsha msiba uliopita
 
AKIshinda serve yake fed naona atakuwa na wakati mzuri wa kuchomoa hii set ya pili
 
Dah nilikuwa nimejisahau.
 
_53252648_012150463-1.jpg

Mrs leo anakazi kubwa kwenda kumkanda mzee shughuli ya leo sio kama kwa djoko hug na standing ovation za kumwaga tu!!
It can't be easy supporting your husband in a Grand Slam final as Mirka Federer tries to keep her cool on Philippe Chatrier Court. Perhaps she's hoping for the predicted rain showers to hit Paris and help her family out

_53252741_012150153-1.jpg

There's another battle courtside as former tennis stars Jim Courier and Gustavo Kuerten compare hair locks and sunglasses. The winner is definitely up for discussion. Back on the Parisian clay, Huyo alikuwa mtalaam kweli Kuerten namkubali
 
probably 4 sets Nadal kwa sasa hamuwezi djoko



Well, Djoko yuko kwenye good form na ile run ilimpa confidence kubwa sana, wakati Rafa anaonekana kabisa hayuko kwenye form na hata mwenyewe amekubali kwamba amekuwa nervous sana hivi karibuni, lakini nategemea Rafa kurudi kwenye form soon na labda akishinda leo itampa confidence zaidi, which will be good news for Wimbledon.
 
Rafa blew a chance for the second set!....they are back on serve now 5-5!
 
Kidogo mapumziko yamerejesha matumaini kwa the man himself "fed" analead hapa 6-5 big up kwake
 
Fed sijui anamshindwa wapi Nadal wakati Djoko na Andy Murray wanampatia.. au kwa vile sio athletic sana
 
tiebreaks are always nervy to both players!
 
Back
Top Bottom