unasali wapiHata Mimi niliacha niliacha dini ya ukristo mwaka 1997 nikaamua kumfuata Yesu. Nimeona maisha ya ushindi sana katika Muda wote huu. Excel karibu nawe umfuate Yesu. Kwa Yesu Kuna Raha, Kuna furaha, Kuna amani tele. Dini yeyote haiwezi kumsaidia mtu
Kuna sign ipi kwa mtu aliyeokoka?Kuokoka ikiwa na maana kumpokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wako...
Huko ndio kumfuàta YESU...
NB: Kwenda kwenye makanisa ya kilokole Kila siku sio kuokoka...
Kaa Nami tena ni mwimba ninao upenda sna Tena ukikuta akiimba angela chibalonza kwakweli aliutendea haki wimbo huuMwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI.
Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs)
1.Mungu ni Pendo
2.Usinipite Mwokozi
3.Salama Rohoni
4.Yesu unipendaye
5.Mwamba wenye imara
6.Nataka nimjue Yesu
7.Bwana u sehemu yangu
8.Ni tabibu
9.Kumtegemea Mwokozi
10.Kaa nami
11.Bwana Mungu nashangaa kabisa.
Wakati mwingi unatembea au uko busy na shughuli zako unajikuta unaimba tu peke yako, unahisi amani ya ajabu ndani ya moyo wako.
Muwe na siku njema wana wa Mungu.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ila matendo yake...Kuna sign ipi kwa mtu aliyeokoka?
Kabisa mkuu, Angela Chibalonza aliimba vizuri sana...Kaa Nami tena ni mwimba ninao upenda sna Tena ukikuta akiimba angela chibalonza kwakweli aliutendea haki wimbo huu
Na ile ya 121 utasemaje?🤣🤣Mkuu unakaribia kufa nn?
Manake hizo ni nyimbo za mazishi huku mtaani👌🤔
Upo sahihiTenzi za rohoni ni zile zinazo bubujika kutoka rohoni na mara nyingi huja pale unapo
atach na Spiritual Power na mara nyingi hutoka automatical
Nje ya hapo ni ngonjera isiyo kua na manufaa mfano
kuna Tenzi zinazoitwa za rohoni ila kiuhalisia zimejaa kuto kuamini mfano
hiyo Usinipite Mwokozi ni nzuri kuimba ila imejaa kutokuamini
kwa mtu uliye uliyezaliwa mara ya pili maana ukisema Mwokozi asikupite means
Yeye yupo mbali na hua anapita just ones na hapo hapo akikuona anaweza kukupita
Hiyo inaonesha namna gani Mungu ni corrupt na hajali wanawe hii kitu ni kufuru za wazi na kujaa mashaka na kutokuamini!
Vile vile nyimbo nyingi za wanaojiita waimbaji wa nyimbo za Injili ni total trash Zisizo na Manufaa yoyote
katika Ulimwengu wa roho na ni chache sana za praise zinazo atach automatical nyingine zimejaa kutokuamini na mashaka Tu,
kumbukeni
MUNGU ni mfalme na mwimbieni kwa akili na Roho Mtakatifu Ndio kiongozi wa yote nje ya hapo bila yeye kufanya vitu vyake Ni sawa na bure,
Ulimwengu wa Roho ni complex sana Ila ni unaeleweka kirahisi mno
kumbuka Hatupewi Tunachokitaka bali tunapewa tunachoamini
MUNGU ni ROHO na Imani ni kuchukua hatua ya kile unachokiamini
yupo ndani yako still unaimba Usinipite Mwokozi if yupo kuleeee
Matokeo yake unavuna unachokipanda kwa kukitamka mwenyewe kwa kumzuia asi take place kwako,
TUISHI TUKIWA WENYE MAMLAKA KAMILI SIO KAMA WAGENI NDANI YA UFALME WA MUNGU WAPENDWA
SHALOM!
[emoji1787][emoji1787]Mkuu unakaribia kufa nn?
Manake hizo ni nyimbo za mazishi huku mtaani[emoji108][emoji848]
Yaaa hiki kitu wengi hawakijui hasa walokole ndio mabingwa wa hizi sarakasi wao hudhani kuimba na kuruka ruka na Kuimba kila nyimbo inayo dhaniwa ni ya Injili ni kumfurahisha MUNGU kumbe hawajui MUNGU anapokea jambo lolote linaloanzia Moyoni likitamkwa linaingia kwenye Ulimwengu wa Roho kuleta udhihilisho kumbuka only Human BEING ndie aliyeumbwa kwa mfano wa MUNGU na ndio pekee tunaoweza kumaster ulimwengu mbili kwa wakati mmoja yaani Huu wa nyama na wa roho kwa wakati mmoja kumbuka hata Malaika na Shetani wote hawana UWeZo huo ndio maana hata Yeye MUNGU Alifanyika mwili kwanza ndio aje kama BinadamuUpo sahihi
Kuna utofauti kati ya KUSIFU na KUABUDU..
Kuna nyimbo ambazo ni za kusifu na kuna nyimbo za kuabudu...
Wengi wao hupenda kusifu tu...
Ambazo wengi hucheza na kufurahia...
Lakini hawajui kuabudu ktk Roho na kweli...
Katika Tenzi za Rohoni kuna ambazo ni za kusifu na za kuabudu...
Ili kuabudu ktk Roho na kweli lazima uwe umeokoka, na ndipo ukiomba nyimbo hizo Roho Mtakatifu anashuka kusema nawe...
Hapa ndipo wengine hunena kwa lugha...
Kuna version ya kinyakyusa ya huu wimbo ni balaa 😀🔥🔥98 huyo ndiye anashuka🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Duh kazi ipo,kweli kila mtu anaufahamu wake..Tuombe robo mtakatifu atuongoze kabla ya kunenaTenzi za rohoni ni zile zinazo bubujika kutoka rohoni na mara nyingi huja pale unapo
atach na Spiritual Power na mara nyingi hutoka automatical
Nje ya hapo ni ngonjera isiyo kua na manufaa mfano
kuna Tenzi zinazoitwa za rohoni ila kiuhalisia zimejaa kuto kuamini mfano
hiyo Usinipite Mwokozi ni nzuri kuimba ila imejaa kutokuamini
kwa mtu uliye uliyezaliwa mara ya pili maana ukisema Mwokozi asikupite means
Yeye yupo mbali na hua anapita just ones na hapo hapo akikuona anaweza kukupita
Hiyo inaonesha namna gani Mungu ni corrupt na hajali wanawe hii kitu ni kufuru za wazi na kujaa mashaka na kutokuamini!
Vile vile nyimbo nyingi za wanaojiita waimbaji wa nyimbo za Injili ni total trash Zisizo na Manufaa yoyote
katika Ulimwengu wa roho na ni chache sana za praise & Worship zinazo atach automatical nyingine zimejaa kutokuamini na mashaka Tu,
kumbukeni
MUNGU ni mfalme na mwimbieni kwa akili na Roho Mtakatifu Ndio kiongozi wa yote nje ya hapo bila yeye kufanya vitu vyake Ni sawa na bure,
Ulimwengu wa Roho ni complex sana Ila ni unaeleweka kirahisi mno
kumbuka Hatupewi Tunachokitaka bali tunapewa tunachoamini
MUNGU ni ROHO na Imani ni kuchukua hatua ya kile unachokiamini
yupo ndani yako still unaimba Usinipite Mwokozi if yupo kuleeee
Matokeo yake unavuna unachokipanda kwa kukitamka mwenyewe kwa kumzuia asi take place kwako,
TUISHI TUKIWA WENYE MAMLAKA KAMILI SIO KAMA WAGENI NDANI YA UFALME WA MUNGU WAPENDWA
SHALOM!