Tenzi za rohoni

Tenzi za rohoni

Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI.

Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs)
1.Mungu ni Pendo
2.Usinipite Mwokozi
3.Salama Rohoni
4.Yesu unipendaye
5.Mwamba wenye imara
6.Nataka nimjue Yesu
7.Bwana u sehemu yangu
8.Ni tabibu
9.Kumtegemea Mwokozi
10.Kaa nami
11.Bwana Mungu nashangaa kabisa.

Wakati mwingi unatembea au uko busy na shughuli zako unajikuta unaimba tu peke yako, unahisi amani ya ajabu ndani ya moyo wako.

Muwe na siku njema wana wa Mungu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kuna nyimbo nyingi za aina hii lakini huwezi zapata kwa tafsiri ya kiswahili wala kiingereza...
Zinapatikana kwa kijerumani na kichaga tu.
Kwa mfano.
Hoi mwana mwele chamecha
Lokuambya nekuidya
Ule na ofo olo wande
Ngechi wona sana a wona
Nangamba hii yaidaho
AU
luhende na sia luhende sahiya
Kimana kilya
Walisi walya walusongoya....
Ulalu ruwa a kunda wandu.....
 
Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI.

Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs)
1.Mungu ni Pendo
2.Usinipite Mwokozi
3.Salama Rohoni
4.Yesu unipendaye
5.Mwamba wenye imara
6.Nataka nimjue Yesu
7.Bwana u sehemu yangu
8.Ni tabibu
9.Kumtegemea Mwokozi
10.Kaa nami
11.Bwana Mungu nashangaa kabisa.

Wakati mwingi unatembea au uko busy na shughuli zako unajikuta unaimba tu peke yako, unahisi amani ya ajabu ndani ya moyo wako.

Muwe na siku njema wana wa Mungu.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Nazipenda sana sana ..., zaidi no 4, 3,5,7,10 na 11
 
Mbona sijawahi kuona app ya nyimbo za injili? Naona tenzi, nyimbo za wokovu. Halafu mbona nyimbo za wokovu haziimbwi sana na kupata umaarufu kama tenzi? Kuna watu wanazijua nyimbo za tenzi mwanzo hadi mwisho
 
Nyimbo za tenzi, zina upako sana, alafu cha ajabu ni worldwide zipo Mataifa almost yote. Tune na ujumbe/content ni hivyo hivyo ila kila Taifa wanatumia lugha yao. Waliotunga hizi nyimbo kwa vyovyote vile hawakuwa katika hali ya kawaida walivuviwa na ROHO MTAKATIFU, hivyo ukiimba kwa imani ukazama unajiconnect na ROHO MTAKATIFU.

1. Mbele ninaendelea
 
Mungu Ni Pendo - Huu wimbo umenifanya niweze kumjua Mungu wa Kweli na So huyu aliyetolewa ndani yetu na kuwekwa juu mbali mbinguni huko.. na hata ukifika haonekani.

Mungu Ni Upendo Full Stop!
 
Kuna wahuni wanaimba tune za ajabu ajabu hazina upako kama tune original. Hawa praise team wa makanisa mbalimbali wakemewe ili waache kuimba tune zao za ajabuajabu zisizo na upako
Hakuna kitu kinanikera kama hiko, tune original zina upako sana, waliotunga walikuwa katika uwepo wa ROHO MTAKATIFU sasa wao wanakaa zao vijiweni wanajitungia tungia tu na vitune vyao vya ajabu ajabu kutafuta umaarufu tu, si watunge nyimbo zaoooo [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Hakuna kitu kinanikera kama hiko, tune original zina upako sana, waliotunga walikuwa katika uwepo wa ROHO MTAKATIFU sasa wao wanakaa zao vijiweni wanajitungia tungia tu na vitune vyao vya ajabu ajabu kutafuta umaarufu tu, si watunge nyimbo zaoooo [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
kuna wengine wameingiza amapiano katika kuimba tenzi. Tenzi zimekuwa zikiimbwa kwa mitindo ya ajabuajabu
 
Back
Top Bottom